Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Baada ya Mbowe kushambuliwa kumeibuka watu wenye kuelekea tukio lenyewe utagikiri wao ndio wahusika, familia au walikuwepo wakati wa tukio. Kuna wabunge wanatoa maelezo eti walikuwa na Mbowe usiku akiwa kalewa, jibu ni lahidi tu Mbowe hajaanza kunywa pombe jana wala juzi
Kuna Ndugai anadai kuna mengi tu juu ya tukio hilo, swali ameyajuaje? Alikuwa wapi wakati wa tukio? Saa saba hizo alikuwa anamfuatilia Mbowe kwanini?
Polisi wanasema tukio la kawaida, Kamanda Muroto amefanya uchunguzi saa ngapi kuyabaini hayo?
Kuna kitu kinaitwa key points na source of information akajifunze sio wote maamuma humu wa kuwadanganya. Muda Ni Mwalimu mzuri sana.
Mbowe ndio source namba moja ya tukio mnapotosha kwa nia gani?
Kuna Ndugai anadai kuna mengi tu juu ya tukio hilo, swali ameyajuaje? Alikuwa wapi wakati wa tukio? Saa saba hizo alikuwa anamfuatilia Mbowe kwanini?
Polisi wanasema tukio la kawaida, Kamanda Muroto amefanya uchunguzi saa ngapi kuyabaini hayo?
Kuna kitu kinaitwa key points na source of information akajifunze sio wote maamuma humu wa kuwadanganya. Muda Ni Mwalimu mzuri sana.
Mbowe ndio source namba moja ya tukio mnapotosha kwa nia gani?