Hivi hii kozi ya urban and regional planning ndio ikoje?

Kwa Mujibu wa NQF:

Inaanza FTC-TC-OD-AD-BD-MD-PHD ambapo B ni Bachelor M ni Masters na A ni Advanced

Maelezo yako hayako sahihi, maelezo sahihi ni haya hapa chini.

Mfumo wa kupitia Technical College ulikuwa na njia mbili:
1. FTC-BD-MD-PHD (Hapa mtu baada ya FTC anakwenda chuoni kusoma degree moja kwa moja na kuendelea)
2. FTC-ADE-PGD-MD-PHD (ADE-ni Advanced Diploma in Engineering, PGD- Post Graduate Diploma mwaka mmoja na kuendelea)

Mfumo wa sasa
OD-BD-MD-PHD
 

awa nao wamekosea ?

Capture.PNG
 
Siyo kweli kwamba hii kozi iko chini ya veta ,
Kozi hii ipo chini ya NACTE.
HII kozi zamani ndo ilikuwa ikiitwa FTC(full technician vertificate) wahitimu wa kozi hii walikuwa wakiitwa mafundi mchundo kwa kiswahili.
Sasa hivi kozi hii ikebadlishwa jina na inaitwa diploma.
Kozi hii hapa tanzania inatolewa na vyuo vinne tu
Vyo hivyo ni
1.mbeya university of science nad technology.
2.dar es salaam institute of technology.
3.technical college of arusha.
4.kuna chuo kipo zanzibar nimesahau jina

Ni kozi ilikuwa jiwe kweli kweli ,maana kufeli ilikuwa nje nje.
Wengi wameharibiwa maisha na hii kozi ya ftc

Sent using Jamii Forums mobile app
Karume Technical College. Zanzibar.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli kwamba hii kozi iko chini ya veta ,
Kozi hii ipo chini ya NACTE.
HII kozi zamani ndo ilikuwa ikiitwa FTC(full technician vertificate) wahitimu wa kozi hii walikuwa wakiitwa mafundi mchundo kwa kiswahili.
Sasa hivi kozi hii ikebadlishwa jina na inaitwa diploma.
Kozi hii hapa tanzania inatolewa na vyuo vinne tu
Vyo hivyo ni
1.mbeya university of science nad technology.
2.dar es salaam institute of technology.
3.technical college of arusha.
4.kuna chuo kipo zanzibar nimesahau jina

Ni kozi ilikuwa jiwe kweli kweli ,maana kufeli ilikuwa nje nje.
Wengi wameharibiwa maisha na hii kozi ya ftc

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanga technical school

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba unitumie maelezo vizuri kuhusu hili tangazo nina mdogo wangu naona sifa zake ziamstaili kutuma
 
Anatakiwa awe na D mbili na C moja kwenye masomo ya Physics, chemistry na Maths au Physics, Geography na Maths.
FTC ni equivalent ya Diploma ilikuwa inafundishwa miaka ya zamani ila Kwa sasa Kuna Diploma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unampotosha! Anatakiwa kuwa na ufaulu wa kuanzia daraja C na kuendelea, kwa kila somo, kwa masomo ya Physics (Engineering Sciences), Chemistry na Mathematics katika mtihani wa kidato cha nne.
 
Unampotosha! Anatakiwa kuwa na ufaulu wa kuanzia daraja C na kuendelea, kwa kila somo, kwa masomo ya Physics (Engineering Sciences), Chemistry na Mathematics katika mtihani wa kidato cha nne.
Labda wabadilishe sasa hivi,lakini kipindi kile nasoma Mimi ndio ilikuwa hvyo.
Hadi watu wenye point 11 kwenye combination yaani DDC walikuwa wanachukuliwa Kisha wanafanyishwa course au mature entry kabla ya kuanza masomo rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu wazima,samaan nilikuw nataka kuuliza kuhusu hii koz tajwa hapo juu je inahusiana na nini? Na je mtu anaweza kujiajiri kupitia hii koz kwa kufanya vitu kama vipi?
 
Wakuu wazima,samaan nilikuw nataka kuuliza kuhusu hii koz tajwa hapo juu je inahusiana na nini? Na je mtu anaweza kujiajiri kupitia hii koz kwa kufanya vitu kama vipi?
 
Wakuu wazima,samaan nilikuw nataka kuuliza kuhusu hii koz tajwa hapo juu je inahusiana na nini? Na je mtu anaweza kujiajiri kupitia hii koz kwa kufanya vitu kama vipi?
 
Back
Top Bottom