Hivi hii kozi ya urban and regional planning ndio ikoje?

Zeru

Senior Member
Jul 20, 2018
186
64
Inakuaje wadau,nilikuwa ninauliza hivi hiv hii koz ya urban and regional planning ndio ikoje,na je vipi kweny ishu za ajira kwa koz hii n changamoto au inakuaje.
 
Inakuaje wadau,nilikuwa ninauliza hivi hiv hii koz ya urban and regional planning ndio ikoje,na je vipi kweny ishu za ajira kwa koz hii n changamoto au inakuaje.
 
Hiyo kozi ni nzuri but inaitaji uwe na hela na pia passion ya kusoma,kuhusu ajira iko poa but nowdays Ni changamoto but kwa kujiajiri iko good but wanaitajika watu wenye experiences na kizuri zaidi kuna mdau anapiga hiyo kozi yaBsc.URP ko kamautakuwa practicals oriented unachomoka unakuja kula mema ya nchi hii under jiwe.
 
Hiyo kozi ni nzuri but inaitaji uwe na hela na pia passion ya kusoma,kuhusu ajira iko poa but nowdays Ni changamoto but kwa kujiajiri iko good but wanaitajika watu wenye experiences na kizuri zaidi kuna mdau anapiga hiyo kozi yaBsc.URP ko kamautakuwa practicals oriented unachomoka unakuja kula mema ya nchi hii under jiwe.
Kumbeee,but nasikia hii koz bro inahusiano kidogo na issue kam za archetecture au imekaaje bro
 
habar, wadau nilikuwa nauliza hiv hii koz ya urban and regional planning inadea na issue gan,pia je hii koz kweny issue za ajira inaunafuu au inakuaje.
 
Siwezi kukujibu inahusiana na nini ila nachojua ni mambo ya upangaji miji
wanatoka deed plan ambazo tunaziona kwenye hati
Na kaz nyinginezo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom