Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn bro.yani iyo kozi yenyewe tu ina itaji msaada....
Cio afisa mipango miji bro.Ukisoma hiyo ukimaliza unaenda kuwa katibu kata
Cio afisa mipango miji bro.
Poa jombaaMkuu nakutania usichukulie siriaz
Kumbeee,but nasikia hii koz bro inahusiano kidogo na issue kam za archetecture au imekaaje broHiyo kozi ni nzuri but inaitaji uwe na hela na pia passion ya kusoma,kuhusu ajira iko poa but nowdays Ni changamoto but kwa kujiajiri iko good but wanaitajika watu wenye experiences na kizuri zaidi kuna mdau anapiga hiyo kozi yaBsc.URP ko kamautakuwa practicals oriented unachomoka unakuja kula mema ya nchi hii under jiwe.
Poa bro,unaweza kunidadavulia inadeal na issue gan,maan mwakan natak kupiga hii koz.Kozi ipo bomba tu...kazi kwako.
Poa bro,unaweza kunidadavulia inadeal na issue gan,maan mwakan natak kupiga hii koz.Mzee hii kozi ni nzuri sana,...... Ajira zipo tena njenje sana,..
Fresh bro,but unaweza kunidadavulia hii koz inadeal na ishu zipiSoma tu mkuu ajira hazitabiriki kote
habar, wadau nilikuwa nauliza hiv hii koz ya urban and regional planning inadea na issue gan,pia je hii koz kweny issue za ajira inaunafuu au inakuaje.