Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Ni jambo la kushangaza sana unakuta Rais anakwenda kuaga msiba Muhimbili wa Muandishi wa Habari...kwa haraka haraka utaona jinsi vioongozi wasivyojittambua Rais misiba mingine anaweza hata kuwakilishwa lakini sasa imekua kama jambo la kawaida kwa Kiongozi kuanzisha ratiba hata isipokuwepo....mi sielewi hawa viongozi wanajitambua au ndio bora liende? Ndio maana unakuta viongozi wote wa Nchi wanajaa kwenye Msiba mmoja naomba sana Hawa Boko haramu wasije kuja Tanzania tutakuja kuwa na misiba mingi.