mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana siasa wetu ni kama wafu na biblia inasema acheni Wafu wazikane
Hata na mimi nilikuwa ninafikiri hivyo hivyo. Tumeona hivi karibuni JK alipochelewa tu kufika kwenye mazishi ya Mpendwa wetu Regia (Mungu Amrehemu), wapo walioanza kusema. Vilevile kutoonekana kwa viongozi wa CUF katika mazishi yale, watu walianza kusema na kuhusisha kutokuwepo kwao na uhasama uliopo baina ya CDM na CUF.Ninaamini kabisa kuwa kama wasingeenda, basi kungekluwa na malalamiko kuwa viongozi wa serikali wakacha mazishi ya mbunge
Lack of Confidence, walianza kama plan ya makinda kumuonyesha JK kwamba yeye ana strategy ya kuwabana Chadema, katika msiba wa Regia kwa kuwa walijua kwamba watu wengi sana watajitokeza kumzika Regia. Wakataka ku dilute issue ionekane watu wallijaa kwa sababu ya msiba wa mbunge kwa hiyo bunge na serikali ndio ionekane imefanya mambo. Hawakujua kwamba mungu hajaribiwi ndio maana akamuondoka Sumari immediately, sasa manunga ya embe na magamba wakabaki hawana jinsi bali kuonekana kwamba huo ndio utaratibu mpya wa mazishi ya kiserikali. Ndio maana hata baada ya kukosa watu kanisani na Karimjee walitumia mtindo wao wa kubeba watu waonekane wamejaa jambo ambalo walishindwa maana tunajua haikuchukua zaidi ya dk 45 kumaliza kuaga. Kwa Regia watu walitaka hata kumkata pua Yakubu aliyejifanya kuwa na haraka ya kuondoa msiba wakati huo huo akitangaza kwamba watu wawapishe wabunge waage. Magamba wakaendelea kubuku ndege zote jana kwa staili ya kubeba waombolezaji ticketi za bure zikiwa kila mahali, ndio maana watoto wa mjini wanasema serikali hii sasa imekua ya misiba, Raisi wetu JK Raisi wa Misiba, acheni nao waandike kitabu chao, maana najiouliza kama mwenyekiti wa chama alishakwenda, Msekwa nae allfuata nini? Kama Anna Makinda alishakuwepo, Ndugai alifuata nini? kama ni ushiriki binafsi sawa, lakini ukishatangaza kuwa ushiriki wa kiserikali hapo napo kuna jambo. Halafu sikumuelewa bibi kiroboto kutumia wakati huo kueleza habari ya kufiwa na wafanyakazi wa ofisi ya bunge, alitaka kuashiria kuna bundi ama kidudu mtu, ama kumtaka mungu ahamie kwenye taasisi nyingine? Hapa ndio matumizi ya siasa misibani yanapowarudia magamba, mwenzao mbowe pale Karimjee alikua relevant, kwamba msimpambe mpambanaji leo, vingaavyo vimeundwa waacheni wanafunzi wa vyuo wafanye siasa ilimradi hawavunji sheria.
Lack of Confidence, walianza kama plan ya makinda kumuonyesha JK kwamba yeye ana strategy ya kuwabana Chadema, katika msiba wa Regia kwa kuwa walijua kwamba watu wengi sana watajitokeza kumzika Regia. Wakataka ku dilute issue ionekane watu wallijaa kwa sababu ya msiba wa mbunge kwa hiyo bunge na serikali ndio ionekane imefanya mambo. Hawakujua kwamba mungu hajaribiwi ndio maana akamuondoka Sumari immediately, sasa manunga ya embe na magamba wakabaki hawana jinsi bali kuonekana kwamba huo ndio utaratibu mpya wa mazishi ya kiserikali. Ndio maana hata baada ya kukosa watu kanisani na Karimjee walitumia mtindo wao wa kubeba watu waonekane wamejaa jambo ambalo walishindwa maana tunajua haikuchukua zaidi ya dk 45 kumaliza kuaga. Kwa Regia watu walitaka hata kumkata pua Yakubu aliyejifanya kuwa na haraka ya kuondoa msiba wakati huo huo akitangaza kwamba watu wawapishe wabunge waage. Magamba wakaendelea kubuku ndege zote jana kwa staili ya kubeba waombolezaji ticketi za bure zikiwa kila mahali, ndio maana watoto wa mjini wanasema serikali hii sasa imekua ya misiba, Raisi wetu JK Raisi wa Misiba, acheni nao waandike kitabu chao, maana najiouliza kama mwenyekiti wa chama alishakwenda, Msekwa nae allfuata nini? Kama Anna Makinda alishakuwepo, Ndugai alifuata nini? kama ni ushiriki binafsi sawa, lakini ukishatangaza kuwa ushiriki wa kiserikali hapo napo kuna jambo. Halafu sikumuelewa bibi kiroboto kutumia wakati huo kueleza habari ya kufiwa na wafanyakazi wa ofisi ya bunge, alitaka kuashiria kuna bundi ama kidudu mtu, ama kumtaka mungu ahamie kwenye taasisi nyingine? Hapa ndio matumizi ya siasa misibani yanapowarudia magamba, mwenzao mbowe pale Karimjee alikua relevant, kwamba msimpambe mpambanaji leo, vingaavyo vimeundwa waacheni wanafunzi wa vyuo wafanye siasa ilimradi hawavunji sheria.
we ni mjinga wa kwanza,toa siasa zako za mataji taka na ushabiki wa kijinga ata km ni wacdm,ruhusu akili yako kufikiri,ndyo maana utakufa masikini kwa kushabikia wafanyabishara(mbowe).kweli wamekosea lakini toa haja hoja usitukane watuLack of Confidence, walianza kama plan ya makinda kumuonyesha JK kwamba yeye ana strategy ya kuwabana Chadema, katika msiba wa Regia kwa kuwa walijua kwamba watu wengi sana watajitokeza kumzika Regia. Wakataka ku dilute issue ionekane watu wallijaa kwa sababu ya msiba wa mbunge kwa hiyo bunge na serikali ndio ionekane imefanya mambo. Hawakujua kwamba mungu hajaribiwi ndio maana akamuondoka Sumari immediately, sasa manunga ya embe na magamba wakabaki hawana jinsi bali kuonekana kwamba huo ndio utaratibu mpya wa mazishi ya kiserikali. Ndio maana hata baada ya kukosa watu kanisani na Karimjee walitumia mtindo wao wa kubeba watu waonekane wamejaa jambo ambalo walishindwa maana tunajua haikuchukua zaidi ya dk 45 kumaliza kuaga. Kwa Regia watu walitaka hata kumkata pua Yakubu aliyejifanya kuwa na haraka ya kuondoa msiba wakati huo huo akitangaza kwamba watu wawapishe wabunge waage. Magamba wakaendelea kubuku ndege zote jana kwa staili ya kubeba waombolezaji ticketi za bure zikiwa kila mahali, ndio maana watoto wa mjini wanasema serikali hii sasa imekua ya misiba, Raisi wetu JK Raisi wa Misiba, acheni nao waandike kitabu chao, maana najiouliza kama mwenyekiti wa chama alishakwenda, Msekwa nae allfuata nini? Kama Anna Makinda alishakuwepo, Ndugai alifuata nini? kama ni ushiriki binafsi sawa, lakini ukishatangaza kuwa ushiriki wa kiserikali hapo napo kuna jambo. Halafu sikumuelewa bibi kiroboto kutumia wakati huo kueleza habari ya kufiwa na wafanyakazi wa ofisi ya bunge, alitaka kuashiria kuna bundi ama kidudu mtu, ama kumtaka mungu ahamie kwenye taasisi nyingine? Hapa ndio matumizi ya siasa misibani yanapowarudia magamba, mwenzao mbowe pale Karimjee alikua relevant, kwamba msimpambe mpambanaji leo, vingaavyo vimeundwa waacheni wanafunzi wa vyuo wafanye siasa ilimradi hawavunji sheria.
Ninyi mnalalamika kwa kuwa aliyekufa ni mbunge wa CCM.Angekufa wa CDM msingelalamika.Mbona kwa Regia hamkulalamika?
kiongozi lazima ashiriki masuala ya kijamii na hasa matatizo ya watu wake,kwani we ulitaka kusemaje.
Jamani eeeeh! Waacheni Wafu Wawazike Wafu Wenzao!
Jamani eeeeh! Waacheni Wafu Wawazike Wafu Wenzao!
Ninyi mnalalamika kwa kuwa aliyekufa ni mbunge wa CCM.Angekufa wa CDM msingelalamika.Mbona kwa Regia hamkulalamika?
tena walisema ooh tuachieni msiba wetu
ndio maana huwa nasema humuJF wana CDM wengi ni vuvuzera tu hawanamadhara saana,kwani wao kila jambo ni kulalamika,kutukana,kuponda,mbili hawakai na hata moja hawasimami hawana msimamo,
kila jambo wao wamekuwa wakulalama tu,sasa hapo ndipo huwa nawatofautisha sana na wenzao wa CCM kwenye nzuri wata sema na kwenye baya watasema
jamani tukubari tu kuwa kunakipindi hata ukikubari udhaifu wako ufii