RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,123
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,imekuwa ni desturi kwa mataifa yenye nguvu kuyatumia mataifa dhaifu kuoneshana umwamba hivyo kuyaharibu mataifa husika na kuwahangaisha raia wake.
Mfano mzuri ni kinacho endelea ndani ya ardhi ya Iraq kati ya Iran na marekani, baada ya kupigania nchini sirya na kuhiaribu vibaya sana nchi hiyo, sasa vita kati yao wamevihamishia nchini Iraq.
Nahili tukio la marekani kumuua kamanda wa kiirani ndio kabisa limeharibu mambo hapa naona damu za wairaq zikimwagika kwa masilai ya marekani na Iran,yaani wao hawajari ya kwamba vitendo vyao vinasababisha mamilioni kukosa makazi, kuteseka kwa njaa,kufa wao wanacho jari ni masilai ya mataifa Yao.
Wakati marekani na Iran wakisambaza silaa nchini Iraq na sirya zinazo sababisha maelfu kuawa na mamiliomi kukosa makazi wao kwenye nchi zao kupo salama na raia wao wanaishi kwa amani.
Mifano mingine ni Iran vs saudia nchini Yemen,Urusi na Marekani nchini Ukiraini, na sasa hivi nasikia wanataka kuhamia libya na Uturuki inataka kutuma wanajeshi nchini humo yaan inasikitisha sana.
Dah dunia hii haina usawa kabisa yaan raia wa taifa moja wana teseka kwa ajili ya mataifa mengine kwa sababu tu taifa lao halina uwezo wa kijeshi.
Kwakweli sisi tunao ishi kwenye mataifa ambayo bado ni dhaifu hatuko salama hata kidogo sisi ni wakimbizi watarajiwa ni suala la muda tu.
La msingi ni kuomba mungu na sisi tusije jikuta katikati ya hawa wanaojiita wababe wa dunia.
Maana wao hawajari hata mfe mamilioni,ili mradi tu masilai yao yasi athiriwe yaan inasikitisha sana tena Sana.
Mfano mzuri ni kinacho endelea ndani ya ardhi ya Iraq kati ya Iran na marekani, baada ya kupigania nchini sirya na kuhiaribu vibaya sana nchi hiyo, sasa vita kati yao wamevihamishia nchini Iraq.
Nahili tukio la marekani kumuua kamanda wa kiirani ndio kabisa limeharibu mambo hapa naona damu za wairaq zikimwagika kwa masilai ya marekani na Iran,yaani wao hawajari ya kwamba vitendo vyao vinasababisha mamilioni kukosa makazi, kuteseka kwa njaa,kufa wao wanacho jari ni masilai ya mataifa Yao.
Wakati marekani na Iran wakisambaza silaa nchini Iraq na sirya zinazo sababisha maelfu kuawa na mamiliomi kukosa makazi wao kwenye nchi zao kupo salama na raia wao wanaishi kwa amani.
Mifano mingine ni Iran vs saudia nchini Yemen,Urusi na Marekani nchini Ukiraini, na sasa hivi nasikia wanataka kuhamia libya na Uturuki inataka kutuma wanajeshi nchini humo yaan inasikitisha sana.
Dah dunia hii haina usawa kabisa yaan raia wa taifa moja wana teseka kwa ajili ya mataifa mengine kwa sababu tu taifa lao halina uwezo wa kijeshi.
Kwakweli sisi tunao ishi kwenye mataifa ambayo bado ni dhaifu hatuko salama hata kidogo sisi ni wakimbizi watarajiwa ni suala la muda tu.
La msingi ni kuomba mungu na sisi tusije jikuta katikati ya hawa wanaojiita wababe wa dunia.
Maana wao hawajari hata mfe mamilioni,ili mradi tu masilai yao yasi athiriwe yaan inasikitisha sana tena Sana.