caiden mills
Member
- Jul 13, 2019
- 49
- 19
Where to work?
Field area?
Also kwa Tanzania how inachukuliwa? Mnaolewa mnijibu tafadhali.
Field area?
Also kwa Tanzania how inachukuliwa? Mnaolewa mnijibu tafadhali.
Oooh shukrani for the motivation coz nmepangwa hyooo and also I'm interested so I'll do the best.... Merci beacoupNondo ya ukweli hiyo nenda kasome. All about Human Resources, Public Administration, Parliament issues, Public Policy, Political Analyst nk nk...
Vipi kwa hii Mkuu,Bachelor of Arts in History and Political Science Kuna Dogo langu kapangiwa hiyo UDSM ila naona kama atakuwa limited hivi yeye alihitaji POLITICAL SCIENCE & PUBLIC ADMINISTRATION anaweza akabadiri chuoni!Nondo ya ukweli hiyo nenda kasome. All about Human Resources, Public Administration, Parliament issues, Public Policy, Political Analyst nk nk...
Kulikuwa na haja gani ya kumpa Vitisho🤔,Dah! Wabongo sisi Mtu akitusua Sijui kwanini anapenda kuwaona wenzie hawatoweza au Wenzie ni watu wakushindwa wewe ulitoboaje na jamaa ashindwe kutoboa,mpe ushauri na taarifa muhimu ndiyo anachohitaji.hilo wenge litakupungua tuu ukija utakutana na vichwa kama prof mukandara , prof Nyirabu , dr Bruce, mtaalam lupa lazima uombe pa kutokea na usipokua serious semister one tuu out
PSPA? Haina ugumu wowote acha kui over rate.hilo wenge litakupungua tuu ukija utakutana na vichwa kama prof mukandara , prof Nyirabu , dr Bruce, mtaalam lupa lazima uombe pa kutokea na usipokua serious semister one tuu out
Mwambie aaachane ni hayo Makozi sijui Phillosophy, History blaa blaaa, bora akasomee ile KOZI YA MICHEZO/UKOCHA kule DARUSO inaitwa, Physical Education ina soko kubwa la ajira lkn sokoni hakuna wahitimu. Ni ushauri lknVipi kwa hii Mkuu,Bachelor of Arts in History and Political Science Kuna Dogo langu kapangiwa hiyo UDSM ila naona kama atakuwa limited hivi yeye alihitaji POLITICAL SCIENCE & PUBLIC ADMINISTRATION anaweza akabadiri chuoni!
Unashauri nini Mkuu🤔
Samples Za ajira ni kama zipi matangazo.Mwambie aaachane ni hayo Makozi sijui Phillosophy, History blaa blaaa, bora akasomee ile KOZI YA MICHEZO/UKOCHA kule DARUSO inaitwa, Physical Education ina soko kubwa la ajira lkn sokoni hakuna wahitimu. Ni ushauri lkn
Inatofautiana VP na inayotolewa udom au niyale Yalehilo wenge litakupungua tuu ukija utakutana na vichwa kama prof mukandara , prof Nyirabu , dr Bruce, mtaalam lupa lazima uombe pa kutokea na usipokua serious semister one tuu out
Rejea Outline zake kila moja upate jibuInatofautiana VP na inayotolewa udom au niyale Yale
Afisa Michezo kila Wizara, Mikoa, Halmashauri nk. Walimu wa Michezo Mashuleni na Vyuoni, Makocha vituo vya michezo, timu za Taasisi. Endeleza ......Samples Za ajira ni kama zipi matangazo.
Political analystHivi mtu akisoma political science and administration anakuwa nani na anaajiriwa wapi au Katika ofisi gani ni hvo tu wakuu msaaada apo
Jiandae kuwa chawa wa mama au mlamba viatu vya wakubwa na ktk ofisi ya wanasiasa vinginevyo hutoboiWhere to work?
Field area?
Also kwa Tanzania how inachukuliwa? Mnaolewa mnijibu tafadhali.
Wengi wao wanakua kama hr ila wanasimamia zaidi vitu sio watu