Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 98
Wadau naomba kuuliza; hivi hii ni miaka 49 ya uhuru wa Tanzania au Tanganyika. Maana kwa uelewa wangu mdogo, Tanzania haijawahi kutawaliwa and therefore haijawahi kupata uhuru. Au ni kwamba baada ya muungano kila kitu kilichokuwa mali au kinahusishwa na Tanganyika automatically kikawa mali na kuusishwa na Tanzania?
Naomba kuwasilisha!
Naomba kuwasilisha!