Mimi uwa nmeruhusu updates hvyo uwa kila.mara inajiupdate, hata hii ilikuwa automatic iliidownload lakini unlike siku nyinhine ikaniletea msg kuwa niruhusu install updates maana kufikia tarehe 16 hii iliyopo haitakuwa supported nikaruhusu ikachukua zaidi ya dakika 30 kuinstall ndiyo kumbe windows 10 iron.Ungetumia assistant window updater kuupdate window yako anyway wimdow 10 home iko sanaa
Nakushaur kama unaweza chukua flash au external HDD weka vitu vyako muhim then unistall iyo window aafu install Window 10 latest version utojutia ni supa sanaMimi uwa nmeruhusu updates hvyo uwa kila.mara inajiupdate, hata hii ilikuwa automatic iliidownload lakini unlike siku nyinhine ikaniletea msg kuwa niruhusu install updates maana kufikia tarehe 16 hii iliyopo haitakuwa supported nikaruhusu ikachukua zaidi ya dakika 30 kuinstall ndiyo kumbe windows 10 iron.
Haina tofauti sana na iliyokuwepo kwa mtazamo wa mtumiaji ila sijaipenda sana kama iliyopta.
Bac kazi unayo....labda nenda device manager update vitu uko computer,display,keyboard n.k n.kHii niliyonayo ndo latest kabsa
Siyo kwamba PC inatatizo, wala kuna kisichofanya kazi. Ila sijavutiwa sana na mabadiliko waliyofanya maybe nitaizoea baada ya muda. Thread yangu ililenga zaidi tu kujua wengine wameichukuliajeBac kazi unayo....labda nenda device manager update vitu uko computer,display,keyboard n.k n.k
Alaaa nilifkr labda imepata shida baada ya ku-update mm nmeinstall latest version inakwenda safi ila haina alama hii (@)Siyo kwamba PC inatatizo, wala kuna kisichofanya kazi. Ila sijavutiwa sana na mabadiliko waliyofanya maybe nitaizoea baada ya muda. Thread yangu ililenga zaidi tu kujua wengine wameichukuliaje