GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,873
" Sihitaji tena Mbunge kutoka huko imetosha...wala siwahitaji "
Yawezekana labda GENTAMYCINE nikawa naota au basi pengine ' Ukichaa ' wangu umeanza kushika Kasi sasa hivyo nawaombeni tu wana JamiiForums msaada wenu je na nyie hiyo Kauli mliisikia juzi iliposemwa na Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) pale TAZARA alipokuwa ' akizindua ' ile barabara ' angani ' ya Mfugale?
Nawasilisha.
Yawezekana labda GENTAMYCINE nikawa naota au basi pengine ' Ukichaa ' wangu umeanza kushika Kasi sasa hivyo nawaombeni tu wana JamiiForums msaada wenu je na nyie hiyo Kauli mliisikia juzi iliposemwa na Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) pale TAZARA alipokuwa ' akizindua ' ile barabara ' angani ' ya Mfugale?
Nawasilisha.