Hivi hii kasumba ya mabinti wengi wa Kisabato kuzalia nyumbani ni jambo la kawaida?

Dah! watu mnadadisi, vipi, yale makambi yao bado yanaendelea, maana huwa yanafanyika usiku na yanatoa fursa kwa vijana kweri kweri..
 
Kusema wanasoma na kuiishi Bibilia ni uongo mkubwa mnoo

Usahihi ni kukariri Vifungu vya Bibilia,Mimi binafsi nilikuwa nawataza hivyo

Ila wakija mkajadiliana Kama upo vizuri kwenye Biblia ni weupe mno kichwani kuhusu Biblia na tafsiri potofu ya kuvutia upande wao na huwa wanavipenda Baadhi ya Vifungu na vitabu

Kihusu hili la mimba ukweli lipo hivyo ila wanaume ni zaidi Sana Sana ni washerati wakubwa vijana wa kisabato

Hii huchagizwa na yale makambi yao.
Huwa wanarudi na story za usinifu na wanakuwa hawana kipingamizi kwani ni wao kwa wao

Tunaishi nao motaani tunawajua
Ruksa swali bila kusahau povu tena liwe la Boom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ujinga mwingi wanafundishwa kanisani.

Kwanza wanaambiwa asiolewe na mtu asiye na kazi ya kueleweka.
Wenye kazi za kueleweka ni wachache na wengi wameshaoa tayari.
Vijana wengi wanafanya shughuli za kubangaiza au umachinga.Hata hivyo wengi wa jinsi hii ndio wanaotoboa kimaisha.Kuna wafanya biashara wakubwa wametoka kwenye kundi hili ambalo linadharauliwa na wengi wakiwemo wasabato

Pili huwa wanajengwa kuamini kuwa ni lazima waolewe na msabato mwenzao.
Sasa tatizo linakuja tena kuwa kubwa pale wanapowekewa sharia na kibano hata cha kukutana wakiwa marafiki ama wachumba.Ikitokea wakawa wanakutana kanisa linaweza kuwafuta ushirika.
Kwa hiyo unakuta kutokana na mahitaji ya mwili,binti anakuwa na muhuni huko nje na anagongwa vilivyo na mvulana anakuwa na vibinti tofauti vya kujiliwaza kila anapopata mihemko ya kihisia.Wakikutana kanisani wote wanajidai wasafi na washika sheria.Mwisho wa siku binti anajikuta kazidiwa na kudungwa mimba.Hapo anakosa ujanja


Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuaminisha watu kuwa Wasabato hufundisha binti zao kuzalia nyumbani au, ila mimi nawaza hivi "Ikiwa mabinti wa kisabato huongoza kwa kuzalia nyumbani basi huenda wasichana wengi hubeba mimba katika umri wa balehe na huamua kuzaa au kutoa mimba hiyo"
 
Kusema wanasoma na kuiishi Bibilia ni uongo mkubwa mnoo

Usahihi ni kukariri Vifungu vya Bibilia,Mimi binafsi nilikuwa nawataza hivyo

Ila wakija mkajadiliana Kama upo vizuri kwenye Biblia ni weupe mno kichwani kuhusu Biblia na tafsiri potofu ya kuvutia upande wao na huwa wanavipenda Baadhi ya Vifungu na vitabu

Kihusu hili la mimba ukweli lipo hivyo ila wanaume ni zaidi Sana Sana ni washerati wakubwa vijana wa kisabato

Hii huchagizwa na yale makambi yao.
Huwa wanarudi na story za usinifu na wanakuwa hawana kipingamizi kwani ni wao kwa wao

Tunaishi nao motaani tunawajua
Ruksa swali bila kusahau povu tena liwe la Boom

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wanakariri vifungu na hawaviishi!
Nilikuwa sijuhi hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ni kwamba wao wanachukulia sabato ni dini sio dhehebu sasa hawataki kuolewa na watu wa madhehebu mengine
 
Upumbavu tu unajadiliwa hapa. Ni uongo mtupu kwamba wadada wa kisabato wanazalia nyumbani, uongo huu na uzushi iki tu kuchafua kundi fulani la watu na imani zao. I'm not conservative in faith lakini huu uzandiki siupendi hata kidogo.

Halafu wanaosema shule za wasabato zinafanya vibaya warudi tena kuangalia matokeo ya shule zetu.
 
Sababu ni kwamba wao wanachukulia sabato ni dini sio dhehebu sasa hawataki kuolewa na watu wa madhehebu mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba hawataki kuolewa na dini zingine, bali wanashawishiwa na viongozi wao waolewe na wasabato wenzao kwa kuelezwa uzuri wa kuolewa na msabato,

Pili ili kurahisisha vijana kujenga mahusiano ndio mambo ya group discussion ya bibilia yanachagizwa, na kilele cha yote hayo ni makambi.

Sasa tatizo lililopo wanaume wenye umri wa kuoa wachache na wasichana ni wengi hivyo kila moja anajaribu bahati yake kwenye target moja.

Mwingine anafikiri au kuona akishika mimba atamlazimisha target amuoe
 
hivi mashahidi wa Yehova na Pentecoste ni tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tofauti
Mashaidi wa jehova ni kundi la wakristo ambalo kimsimamo ni kama wasabato ila wenyewe ueneza injili kupitia vijalida na mara nyingi ueneza kwa kupita nyumba kwa nyumba na majarida yao ni yale ya Mnara wa Mlinzi na Amkeni
Pentekoste ni makundi ya wakristo yansyoamini katika uvuvio wa roho mtakatifu hawa ni kama EAGT,TAG,FPCT,FULL GOSPEL et al
 
Zamani nilikuwa nikiwadharau saaaana single mothers, ila siku nikiyojiuliza hawa wanawake wanaofikisha 30s or 40s ni kwamba either wote hawafanyi ngono, au wamefanya ngono na hawajawai pata mimba, AU WAMEFANYA NGONO, WAKAPATA MIMBA NA KUZITOA.

Tangu siku iyo niliwaheshimu single moms, Maana walichagua kutokufanya makosa mara mbili, Yaani Kuzini na kuua.

Pili, Chanzo cha haya yote ni sisi wanaume, tumekaa kila siku kujisifia kule kwenye ule uzi wa kimasihara, lakini madhara yake ni hayo, kuwazalisha mabinti na kuwakimbia, mwanaume unakaa kwenye uchumba na binti miaka mitano af unakuja kutuambia eti hakuwahi kunasa hata mara moja?

Ni kwamba MUNGU hakuweka tu kaalama kwenye miili yetu KILA MARA TUNAPOSHAWISHI NA KUWAPA ELA WANAWAKE WETU WAKATOE MIMBA.

Tuwaheshimu hawa viumbe, maana hatuwezi kuvaa viatu vyao

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom