Hivi hii kasumba ya mabinti wengi wa Kisabato kuzalia nyumbani ni jambo la kawaida?

Kuna ujinga mwingi wanafundishwa kanisani.

Kwanza wanaambiwa asiolewe na mtu asiye na kazi ya kueleweka.
Wenye kazi za kueleweka ni wachache na wengi wameshaoa tayari.
Vijana wengi wanafanya shughuli za kubangaiza au umachinga.Hata hivyo wengi wa jinsi hii ndio wanaotoboa kimaisha.Kuna wafanya biashara wakubwa wametoka kwenye kundi hili ambalo linadharauliwa na wengi wakiwemo wasabato

Pili huwa wanajengwa kuamini kuwa ni lazima waolewe na msabato mwenzao.
Sasa tatizo linakuja tena kuwa kubwa pale wanapowekewa sharia na kibano hata cha kukutana wakiwa marafiki ama wachumba.Ikitokea wakawa wanakutana kanisa linaweza kuwafuta ushirika.
Kwa hiyo unakuta kutokana na mahitaji ya mwili,binti anakuwa na muhuni huko nje na anagongwa vilivyo na mvulana anakuwa na vibinti tofauti vya kujiliwaza kila anapopata mihemko ya kihisia.Wakikutana kanisani wote wanajidai wasafi na washika sheria.Mwisho wa siku binti anajikuta kazidiwa na kudungwa mimba.Hapo anakosa ujanja


Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe,umedadavua kweli!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha mbali sana nilikatongoza katoto ka kisababato miaka hiyo kakasema hakawezi kuchangamanika nami mpaka nibadili dhehebu. Sijui katakuwa nako kameshazalia nyumbani maana miaka mingi sana imepita au wenzako walishajiolea. Kalikuwa kananiruhusu kupiga denda tu mengine mpk nibadilishe dhehebu
 
Hili suala siyo kwa wasabato tu ni kwa karibu madhehebu yote ila kwa kuwa hao wengine hawajali ndiyo maana kwa wasabato kama ulivyowatanabaisha kuwa ni watu wa kitabu na ndivyo walivyo hasa huku wakiishi kwa kadri ya maagizo na sheria za Mungu inaonekana ni ajabu na ni ajabu kweli

Ila shida ni ileile iliyopelekea dhambi kuingia kutotii maagizo ya Mungu na kukubali hila za muovu ndiyo maana huanguka na kupelekea tatizo hilo.
 
Mkuu iko hivi kisaikolojia;

Sio kwa mabinti wa kisabato tu peke yako bali kwa mabinti wote ambao huwa na misimamo na kujitunza kwa muda mrefu bila kushiriki mapenzi na wanaume huwa mwishoni uvumilivu unawashinda.

Na akiviziwa na kupatikana na mwanamme mmoja tu huaribikiwa na kusahau kujilinda na kujikuta mimba inaingia kirahisi.
Tofautisha na binti ambaye alianza kujihusisha na mapenzi mapema huwa wanaishi kama kunguru kwa machale machale, na hata ikitokea mimba imeingia anashtuka mapema na kwenda kuflash na maisha yanaendelea.
Maelezo safi kabisa
 
Dah umenikumbusha mbali sana nilikatongoza katoto ka kisababato miaka hiyo kakasema hakawezi kuchangamanika nami mpaka nibadili dhehebu. Sijui katakuwa nako kameshazalia nyumbani maana miaka mingi sana imepita au wenzako walishajiolea. Kalikuwa kananiruhusu kupiga denda tu mengine mpk nibadilishe dhehebu
Tuombe Mungu awe ameshaolewa
 
Hili suala siyo kwa wasabato tu ni kwa karibu madhehebu yote ila kwa kuwa hao wengine hawajali ndiyo maana kwa wasabato kama ulivyowatanabaisha kuwa ni watu wa kitabu na ndivyo walivyo hasa huku wakiishi kwa kadri ya maagizo na sheria za Mungu inaonekana ni ajabu na ni ajabu kweli

Ila shida ni ileile iliyopelekea dhambi kuingia kutotii maagizo ya Mungu na kukubali hila za muovu ndiyo maana huanguka na kupelekea tatizo hilo.
Ule msimamo wao dhidi ya wasiofata sabato wangeuweka na kwenye maswala ya mapenzi ingekuwa poa sana
 
Si kweli kuwa mabinti wakisabato wanatatizo ilo" ili ni tatizo la mabinti wengi ambao
Wamelelewa katika familia za Imani Kali.

Huaminishwa kwamba Mume bora anatoka kwa Bwana,
hivyo wengi wao huamini kwamba Mungu atawaletea Mume

( Na wengi huwaza mume mwenye mafanikio makubwa na Imani yake)

Kazi inakuja pale ambapo vijana wengi hawana maisha wanayoyataka ,
Na bahati mbaya Kuna wenye maisha ila imani tofauti, kwaiyo waanawakataa


Mwisho wa siku hakuna Mume anayeshushwa Kama alivyo tegemea,
umri nao umeenda wanao mtongoza hawapo,
Anaishia kupigwa mimba na wahuni.



Dada zetu wa jf mjifunze."" 😭😭
R
 
Back
Top Bottom