J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,195
Sawa
Early 20'z.
Early 20'z.
Eeeh' Umenigusa Worms..!Una Rundo la watu lakini wajua kabisa si company ya kweli kwako.
Una rundo la watu lakini wapata tetesi wanakusimanga.
Una rundo la watu ukiwa na shida hawana msaada ingawa wao wakiwa na shida huwa unawasaidia
Habari Wakuu,
Naomba kujua hivii ni kwanini mtu una rundo kama siyo furushi la watu kwenye maisha yako lakini kuna muda Unakuta unajihisi Mpweke sana na Una feel so empty inside..!
Na je kuna watu wanapitia this same situation.??
Maana nahisi hii hali inajitokeza mara kwa mara kwangu..!!
Naomba uwe mwal wangu.!!
Umewezaje me nimepambana mpaka nimechoka si kwa meditation wala subliminals messages...hatua nlopiga ni ndogo mno...kama sina cha kufanya naweza kaaa mwenyewe hata week sihitaji mtu wala nn!!nikikaa na watu nahisi siko happy kabisaNani kasema they are not happy? Usikarir binafsi ni introvent but naenjoy life vibaya yaani.
Its about kujifaham. Nn ufanye na nn usifanye. My own company ndio everything, means less disapoitment, less enemies.
Its so cool.
Je n hvo tuu..au,labda pia ungepata partner wa kuspent nae time ingekuwa heriEeeh' Umenigusa Worms..!
Ahsante sana Mkuu, I'm trying my best!!Badilika mkuu, mabadiliko yanahitajika kutoka kwako. You are responsible for your own lifeView attachment 962034