kirisha
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 573
- 663
Kama tunavyojua Tanzania kuna changamoto kubwa sana ya kupatika maji safi na salama hivi serikali inaruhusu mtu binafsi uweke maradi wako wa maji safi na salama uchukuwe pesa kama wanavyotoza dawasco
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app