mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
PPF ni shirika la Umma kwa ajili ya kukusanya michango ya wanachama wake, kuiwekeza na kisha kuwalipa kwa usahihi wastaafu. Kumekuwa na matukio mbalimbali ya ukosefu wa uadilifu ndani ya huu mfuko hasa baada ya ERIO William kupewa wadhifa huo na mjomba wake William Mkapa bila aibu.
1. Wafanyakazi wa mashirika ya umma inatakiwa wewe wale wa masharti ya kudumu na pensioni. Kabla ya 2003, ndivyo walivyokuwa.
2. Mwaka 2003 waliamua kubadili ajira zao na kuwa za mikataba. Kwa uhalisia wa taratibu, mfanyakazi wa ajira ya mkataba mfupi hulipwa gratuity pale anapoondoka kazini mkataba ukiisha. Huyu hastahili kuchangiwa michango ya pensioni (15% kwa mwezi)
3. kwa kuwa Hazina wamelala, huku wakijua wanapuuza Waraka wa UTUMISHI waliendelea kujilipia gratuity 25% na pension 15% hadi leo.
4. Mwaka 2008, wakajilipa kila mmoja gratuty ya 25% kwa miaka mitatu, group endowment 47% ya mishahara yao wakati huohuo wanaendelea kuchangiwa pension.
5. Mwaka 2010 DG alijilipa gratuity 25% na Endowment 47% ya mishahara ya miaka yote. Hili limefanyika wakati Hazina wamegoma kusaini mkataba wa PPF wa Hali bora maana umejaa ufisadi na uizi kwa wanachama.
6. Mwaka 2011, Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma ya Mh. Zitto Kabwe, iliagiza wakurugenzi wa PPF wasilipwe Group endowment mpaka CAG afanye ukaguzi, kwa dharau kubwa, DG Erio kawalipa na wanaendelea na kazi.
7. Baada ya kuona malengo yao ya kujichukulia malipo ya group endowment kabla ya kustaafu yamefanikiwa, wamejirudisha kwenye ajira ya kudumu mwaka huu.
Hivi kweli Msajili wa Hazina anafaida gani kwa umma? Kama wanaweza jiamulia mambo makubwa kama haya bila ya yeye kujua, bado Waziri wa fedha anamuhitaji?
Hivi ni sahihi mtu mmoja ambaye mshahara wake ni mkubwa (appro 10M) kwa mwezi achangiwe na PPF karibu 87% ya milion kumi kila mwezi kutokana na fedha za wavuja jasho?
Naomba kuwasilisha kwa Great Thinkers tu. Kama sio Great Thinker please usichangie.
============
Moderator's comment:
Tumeifunga hoja hii kutokana na wachangiaji kuingiza masuala binafsi, hata hivyo mamlaka husika wakiwemo PCCB na POAC zimetumiwa nakala ya mjadala huu.
JF isitumike kama attacking tool, tunatoa ushirikiano pale lugha ya uwasilishaji inapokuwa ya kiungwana.
1. Wafanyakazi wa mashirika ya umma inatakiwa wewe wale wa masharti ya kudumu na pensioni. Kabla ya 2003, ndivyo walivyokuwa.
2. Mwaka 2003 waliamua kubadili ajira zao na kuwa za mikataba. Kwa uhalisia wa taratibu, mfanyakazi wa ajira ya mkataba mfupi hulipwa gratuity pale anapoondoka kazini mkataba ukiisha. Huyu hastahili kuchangiwa michango ya pensioni (15% kwa mwezi)
3. kwa kuwa Hazina wamelala, huku wakijua wanapuuza Waraka wa UTUMISHI waliendelea kujilipia gratuity 25% na pension 15% hadi leo.
4. Mwaka 2008, wakajilipa kila mmoja gratuty ya 25% kwa miaka mitatu, group endowment 47% ya mishahara yao wakati huohuo wanaendelea kuchangiwa pension.
5. Mwaka 2010 DG alijilipa gratuity 25% na Endowment 47% ya mishahara ya miaka yote. Hili limefanyika wakati Hazina wamegoma kusaini mkataba wa PPF wa Hali bora maana umejaa ufisadi na uizi kwa wanachama.
6. Mwaka 2011, Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma ya Mh. Zitto Kabwe, iliagiza wakurugenzi wa PPF wasilipwe Group endowment mpaka CAG afanye ukaguzi, kwa dharau kubwa, DG Erio kawalipa na wanaendelea na kazi.
7. Baada ya kuona malengo yao ya kujichukulia malipo ya group endowment kabla ya kustaafu yamefanikiwa, wamejirudisha kwenye ajira ya kudumu mwaka huu.
Hivi kweli Msajili wa Hazina anafaida gani kwa umma? Kama wanaweza jiamulia mambo makubwa kama haya bila ya yeye kujua, bado Waziri wa fedha anamuhitaji?
Hivi ni sahihi mtu mmoja ambaye mshahara wake ni mkubwa (appro 10M) kwa mwezi achangiwe na PPF karibu 87% ya milion kumi kila mwezi kutokana na fedha za wavuja jasho?
Naomba kuwasilisha kwa Great Thinkers tu. Kama sio Great Thinker please usichangie.
============
Moderator's comment:
Tumeifunga hoja hii kutokana na wachangiaji kuingiza masuala binafsi, hata hivyo mamlaka husika wakiwemo PCCB na POAC zimetumiwa nakala ya mjadala huu.
JF isitumike kama attacking tool, tunatoa ushirikiano pale lugha ya uwasilishaji inapokuwa ya kiungwana.