Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,468
JK aliwaambia Chadema kuwa wametoka Bungeni lakini watamfuata kwa shida zao. Sasa Mbunge wa Nyamagana na Mbeya mjini wameingia ofisini na kukuta hakuna samani, je huu ndio mwanzo wa utekelezaji wa maneno ya JK pale Dodoma wakati akizindua Bunge la 10? https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/92301-sugu-akabidhiwa-ofisi-isiyo-na-samani.html
JK anasifika sana kwa kuweka na kulipiza visasi na nafikiri ndio ameanza kutekeleza maneno yake yaliyokosa ukomavu wa kisiasa hasa siasa za vyama vingi. Wananchi wa majimbo hayo by 2015 no vote kwa CCM ngazi zote. Na huko ni kuvunja katiba kwa hali ya juu sana nafikiri kosa ili ni kubwa kuliko yote na kwenye penal code adhabu yake haijawekwa bado.
JK anasifika sana kwa kuweka na kulipiza visasi na nafikiri ndio ameanza kutekeleza maneno yake yaliyokosa ukomavu wa kisiasa hasa siasa za vyama vingi. Wananchi wa majimbo hayo by 2015 no vote kwa CCM ngazi zote. Na huko ni kuvunja katiba kwa hali ya juu sana nafikiri kosa ili ni kubwa kuliko yote na kwenye penal code adhabu yake haijawekwa bado.