Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Mwanaume wa dini A anaweza kuoa mwanamke wa dini B
Mwanamke wa dini B akiolewa na mwanaume wa dini A, mwanamke anauawa
Maana yake ni changu ni changu, chako ni changu.
Haya ni mawazo ya Mungu au ni wanadamu waliotumia fursa kuundanganya Ulimwengu?
Mungu kama Muumba wa mbingu na nchi, mwenye mamlaka yote, kwanini asiue watu wa dini "B" kwa kuwa hawafai mbele zake? Kwanini Mungu aendelee kuumba watu wa dini "B" mpaka leo?, Au dini "B" wanaumbwa na shetani?
Mwanamke wa dini B akiolewa na mwanaume wa dini A, mwanamke anauawa
Maana yake ni changu ni changu, chako ni changu.
Haya ni mawazo ya Mungu au ni wanadamu waliotumia fursa kuundanganya Ulimwengu?
Mungu kama Muumba wa mbingu na nchi, mwenye mamlaka yote, kwanini asiue watu wa dini "B" kwa kuwa hawafai mbele zake? Kwanini Mungu aendelee kuumba watu wa dini "B" mpaka leo?, Au dini "B" wanaumbwa na shetani?