Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 462
Kijana ana mshahara Gross TSHS 1,000,000/= baada ya makato NET yake TSHS 780,000/=
Baada ya probation period na kiu za kumeremeta kijana kachukua mkopo ofisini TSHS 12,000,000/= kachukua Altezza 9m, flat screen 1.5m iliyobaki kalia burudani, 12m yote imekata.
Makato kila mwezi ya mkopo TSHS 300,000/= so anabaki na NET income ya TSHS 480,000/=! Altezza 6 cylinder kila siku linataka wese la walau buku kumi, kwa mwezi ni laki 3 hiyo kwa hiyo balance toka kwenye ile laki nne 80 ni 180,000/=.
Hiyo ndo ale, alewe, girlfriends na kodi humo humo!! Hivi hii ni akili au ukwaju?
Baada ya probation period na kiu za kumeremeta kijana kachukua mkopo ofisini TSHS 12,000,000/= kachukua Altezza 9m, flat screen 1.5m iliyobaki kalia burudani, 12m yote imekata.
Makato kila mwezi ya mkopo TSHS 300,000/= so anabaki na NET income ya TSHS 480,000/=! Altezza 6 cylinder kila siku linataka wese la walau buku kumi, kwa mwezi ni laki 3 hiyo kwa hiyo balance toka kwenye ile laki nne 80 ni 180,000/=.
Hiyo ndo ale, alewe, girlfriends na kodi humo humo!! Hivi hii ni akili au ukwaju?