Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
wana blogu waishio nje ya nchi hawana lolote zaidi ya kujaza ma page ya discussions za matatizo ya Tanzania. Utakosoaje mapungufu yetu wakati we ulishayakimbia?
Na wana blogu waishio ndani wana nini? Mbona kila siku wanajaza makurasa kwa kulialia kuhusu rumba lilivyo kali....mara ooh mgao wa umeme...mara maji hakuna...mara mvua zimenyesha na kuleta madimbwi na matope....wangekuwa na lolote wangekuwa washafanya ya maana...
basi hata kama ni kupiga domo mpigie domo ya maana, wapi, kazi kujadili jinsi ya kuongoza urefu wa sehemu za siri, ndo mada zetu humu kutwa
Kwa taarifa yako idadi kubwa ya wapiga domo wa ngono na uzinzi wako Tanzania. Angalia ni mida gani ambapo jukwaa la "mapenzi" ndo huchanganya....ni ile mida ambayo watu bongo wako maofisini!!!!!!!!! Ishafika saa kumi na moja jioni na kwenda mbele linaanza kupooza tena. Acha zako hizo wewe....kutwa nzima mijitu inashinda inazungumzia "infidelity" na pombe na vikao vya baa. Cha kuchekesha zaidi ni kwamba wao wenyewe hudai eti jukwaa lile ni "stress" reliever....mweeee hilo Taifa wanalijenga saa ngapi?