Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
1.Wanasiasa mbalimbali wa vyama vya upinzani
2.Wanasiasa wachache kutoka CCM kama kina Nape,Maria Sarungi, Nyalandu aliekuwa CCM,n.k
3.Kanisa Katoliki Tanzania kupitia waraka wao.
4.Askofu Kakobe
5.Jarida la The Economist
5.Maaskofu kadhaa wa KKKT waliotoa maoni yao kwa njia ya maandishI
6.Umoja wa nchi za Ulaya kupitia tamko lao la hivi karibuni
7.Marekani waliotoa tamko kupitia ubalozi wao wa hapa nchini
8.Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hapa nchini(LHRC)
10.Dr.Lwaitama
11.Sheikh Ponda
12.Mzee Jenerali Ulimwengu aliesema tumerudi nyuma miaka 50
13.Mwanasheria Mkuu wa sasa alietoa maoni kama ya Lissu kuhusu maswala ya sheria na mikataba ya madini na gesi kabla hajateuliwa kuwa Mwanasheria wa Serikali hivi karibuni.
14.Wastaafu walioambiwa "wanawashwawashwa".
Je,hawa wote nao ni wapiga dili?
Mambo waliolaani,kuonya,kushauri na kukosoa, yote ni uongo na uzushi?
Kwanini wahusika wasikae chini,wajitafakari na wajirekebishe walipokosea?
2.Wanasiasa wachache kutoka CCM kama kina Nape,Maria Sarungi, Nyalandu aliekuwa CCM,n.k
3.Kanisa Katoliki Tanzania kupitia waraka wao.
4.Askofu Kakobe
5.Jarida la The Economist
5.Maaskofu kadhaa wa KKKT waliotoa maoni yao kwa njia ya maandishI
6.Umoja wa nchi za Ulaya kupitia tamko lao la hivi karibuni
7.Marekani waliotoa tamko kupitia ubalozi wao wa hapa nchini
8.Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu hapa nchini(LHRC)
10.Dr.Lwaitama
11.Sheikh Ponda
12.Mzee Jenerali Ulimwengu aliesema tumerudi nyuma miaka 50
13.Mwanasheria Mkuu wa sasa alietoa maoni kama ya Lissu kuhusu maswala ya sheria na mikataba ya madini na gesi kabla hajateuliwa kuwa Mwanasheria wa Serikali hivi karibuni.
14.Wastaafu walioambiwa "wanawashwawashwa".
Je,hawa wote nao ni wapiga dili?
Mambo waliolaani,kuonya,kushauri na kukosoa, yote ni uongo na uzushi?
Kwanini wahusika wasikae chini,wajitafakari na wajirekebishe walipokosea?