Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Binafsi najiuliza hivi hawa watu wamejiuliza nini itakuwa impact ya Lissu kushinda kesi ya kuvuliwa ubunge ndani na nje nchi ukizingatia teyari anafahamika kama "The sixteen bullets survivor"?
Yaani siku hiyo na kesho yake media zote yakiwemo magazeti headlines ni Lissu ashinda kesi ya kuvuliwa ubunge!!
Najiuli,wenzetu hawa wametazama mbali kweli?
Politically,nani hapa atakuwa amejimaliza kati ya waliomvua ubunge na alieshinda kesi?
Mshauri wa hawa wenzetu ni nani?
Wacha tusubiri!!
Yaani siku hiyo na kesho yake media zote yakiwemo magazeti headlines ni Lissu ashinda kesi ya kuvuliwa ubunge!!
Najiuli,wenzetu hawa wametazama mbali kweli?
Politically,nani hapa atakuwa amejimaliza kati ya waliomvua ubunge na alieshinda kesi?
Mshauri wa hawa wenzetu ni nani?
Wacha tusubiri!!