Hivi hawa watu wako wapi?Njoo tujuzane wako wapi

Wale waliokua wanajipendekeza kuandika majinaya wapiga kelele akat ilikua kazi ya montress darasani....mwaka 2015 mlichaguliwa kituo gani cha kuandikisha wapiga kura??? Au mlitemwa!!!
 
Wale waliokua wanajipendekeza kuandika majinaya wapiga kelele akat ilikua kazi ya montress darasani....mwaka 2015 mlichaguliwa kituo gani cha kuandikisha wapiga kura??? Au mlitemwa!!!
Nadhani hao na Judge wetu mpendwa Lubuva wanafahamiana vema
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom