KUDOLE CHA MWISHO
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 410
- 888
Wakuuu habar za asubuhi!
Nimeamka hapa nikiwa na masikitiko makubwaa sana Jua ya kiongozi wa BAVICHA ambaye alikuwa katka mazingira ya kutekwa na watu wasiojulikana!!
Na Mungu akanikisha kukamatwa mmoja.
Baada ya polise kumtia Nguvuni eti mshukiwa nasema alikuwa ameenda kuangalia kama mke wake hupo kwa yule kiongozi!! Cha ajabu ilikuwa ni usiku wa manane!!!
Tunaombeni mrejesho wadau!! This is too Much!!
Nimeamka hapa nikiwa na masikitiko makubwaa sana Jua ya kiongozi wa BAVICHA ambaye alikuwa katka mazingira ya kutekwa na watu wasiojulikana!!
Na Mungu akanikisha kukamatwa mmoja.
Baada ya polise kumtia Nguvuni eti mshukiwa nasema alikuwa ameenda kuangalia kama mke wake hupo kwa yule kiongozi!! Cha ajabu ilikuwa ni usiku wa manane!!!
Tunaombeni mrejesho wadau!! This is too Much!!