mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,013
- Thread starter
- #21
Na hiyo ndio power kubwa wanayoitumia wanawake kuwanyanyasa wale wanaohitaji kuwafanyia hivyo. Huzuni kwa kweli.!Kwa maelezo ya jamaa na mfano alioutoa wa huko anamaanisha mama kumsingizia kosa la ubakaji kwa mtu wake wa karibu aidha mtoto au ndugu yake.
Ishu ya Kenya baba alisingiziwa kumbaka binti wake, mzee akala mvua za kutosha ila miaka 10 mbele mtoto akaja kukiri kua hajawahi kubakwa na mama yake ndie alikua mastermind wa kuframe hio kesi, dogo alikuja kujutia sana na kutaka kusaidiwa kwenda gerezani kumuomba msamaha baba yake kwa uovu waliomfanyia.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app