Inakuhusu?
😃😃😃Na wewe ni mwingine?
Unaonaje? Mumekimbia kupimwa corona bungeni nahuku majimboni msijeNa wewe ni mwingine?
Ndugu mimi nimeoa nina mke na Watoto, sihitaji mke mwingine! Mimi sio wa level yako hata kidogo, never!Kama huyu Elli Mshana na genge lake unafikiri wanalala? Wao kila siku ni kumpnga Magufuli tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonaje? Mumekimbia kupimwa corona bungeni nahuku majimboni msije
Moja ya job description yenu ni matusi?Wewe inakuuma Nini tukimsifia jpm, nyoko
😄😄😄😄😃😃😝😝Wengine hawalipwi hizo buku 7! Majority wapo wapo tu hawana cha kufanya!..ndo maana mtu anaanza kujiita Pombe...n the like
😃😃Ndugu mimi nimeoa nina mke na Watoto, sihitaji mke mwingine! Mimi sio wa level yako hata kidogo, never!
Ndugu mimi nimeoa nina mke na Watoto, sihitaji mke mwingine! Mimi sio wa level yako hata kidogo, never!
Moja ya job description yenu ni matusi?
Sent from my KSA-LX9 using Tapatalk
Wangekuwa mafenesi wangekuwa +covid 19!Kama heading inavyojieleza, hivi hawa wanaomsifia magufuli huwa wanalala saa ngapi?
Kwa kipindi hiki ambacho huku niliko jiji ninaloishi liko chini ya zuio la kutoka nje ya nyumba, mitandao imekuwa sehemu yangu kubwa ya kutembelea mda wote kwa vile sina ratiba nyingine tofauti, kwa huko nyumbani Tz nimeshangazwa na vitu kadhaa kwenye mitandao.
Kuna baadhi ya account huko facebook, tweeter, Insta, JamiiForums na site zingine Kuna majina na ID kazi yao ni kumsifu magufuli tu haijalishi ni kuhusu nini tena bila hoja za msingi hawa watu hawako kwa ajili ya chama Wala serikali wao ni magufuli tu.
Cha kushangaza zaidi wako active mda wote yaani 24/7hrs na karibu kila taarifa au thread wao ndio wa kwanza kucomment, kipindi mimi nakuwa nimechoka na upweke wa kujifungia ndani kila nikiingia online naziona hizohizo ID kwenye kila post iwe mchana, adhuhuri, alasiri,usiku wa manane hata asubuhi. Hawa watu wanafanya majukumu yao saa ngapi na wanalala mda gani? na ni Kama wanaambiana yaani wanashambulia kwa pamoja, au ni mtu mmoja anamiliki ID zaidi ya 10? Ina maana hawa jamaa hawalali?
Mimi ninashangaa kwa sababu sijawahi kufikiria Kuna watu wa namna hii yaani uwe online 24hrs kila siku kwa ajili ya mtu tena kwa kuandika matusi kwa kila post? Labda Kama Kuna malipo wanapata, Anyway nimeshangaa tu wakuu
Mimi bado naendelea na Lock-down
Chukua tahadhari, Corona Ipo na ni hatari.
😃😃Hahahhahahhaa...kwamba crimea alikua anajitongozesha🤣🤣🤣🤣.hahhaaa ....
Nimesoma post zooooote, nimeshangaa sijamsoma BIA YETU kutokuchangia thread hii.Misasa
Bia yetu
Yehodaya
Bukikilo
Elitwege et al
Wanalipwa 7000 kwa siku kwa mwezi 210,000/- na hapo hapo wapange nyumba,walipe ada,wahonge,wavae,wale nk ndiyo maana hawalali wakiachishwa kazi watakula wapi?
Hahahaha ..herd community iishe tu jamani ...najikuta nacheka tuNimesoma post zooooote, nimeshangaa sijamsoma BIA YETU kutokuchangia threa hii.
Wako kazini wanalipwa hao, kuna kikundi kabisaa cha watu, kimesajiriwa watu zaid ya Mia tano, wanalipwa kwa Kazi hiyo, ndio awamu ya tano hiyo MkuuKama heading inavyojieleza, hivi hawa wanaomsifia magufuli huwa wanalala saa ngapi?
Kwa kipindi hiki ambacho huku niliko jiji ninaloishi liko chini ya zuio la kutoka nje ya nyumba, mitandao imekuwa sehemu yangu kubwa ya kutembelea mda wote kwa vile sina ratiba nyingine tofauti, kwa huko nyumbani Tz nimeshangazwa na vitu kadhaa kwenye mitandao.
Kuna baadhi ya account huko facebook, tweeter, Insta, JamiiForums na site zingine Kuna majina na ID kazi yao ni kumsifu magufuli tu haijalishi ni kuhusu nini tena bila hoja za msingi hawa watu hawako kwa ajili ya chama Wala serikali wao ni magufuli tu.
Cha kushangaza zaidi wako active mda wote yaani 24/7hrs na karibu kila taarifa au thread wao ndio wa kwanza kucomment, kipindi mimi nakuwa nimechoka na upweke wa kujifungia ndani kila nikiingia online naziona hizohizo ID kwenye kila post iwe mchana, adhuhuri, alasiri,usiku wa manane hata asubuhi. Hawa watu wanafanya majukumu yao saa ngapi na wanalala mda gani? na ni Kama wanaambiana yaani wanashambulia kwa pamoja, au ni mtu mmoja anamiliki ID zaidi ya 10? Ina maana hawa jamaa hawalali?
Mimi ninashangaa kwa sababu sijawahi kufikiria Kuna watu wa namna hii yaani uwe online 24hrs kila siku kwa ajili ya mtu tena kwa kuandika matusi kwa kila post? Labda Kama Kuna malipo wanapata, Anyway nimeshangaa tu wakuu
Mimi bado naendelea na Lock-down
Chukua tahadhari, Corona Ipo na ni hatari.