Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,180
- Thread starter
- #21
Kama ni kweli kuna namna serikali inatakiwa iangalie hili suala kiumakini itakuja kuigharimu taifa huko mbeleni, uwezo wa vijana kufikiria na kujenga hoja hauko sawa kabisa na taifa haliwezi kuendelea likiwa na watu wa namna hiiWengine hawalipwi hizo buku 7! Majority wapo wapo tu hawana cha kufanya!..ndo maana mtu anaanza kujiita Pombe...n the like