King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Mkuu hii kauli umenikumbusha mbali sana maana ilipotea mno
Hahaaaa acha tu ,ngoja tuikumbushie kumbushie isije kusahaulika.
Mkuu hii kauli umenikumbusha mbali sana maana ilipotea mno
UmenenaOsie tate mkuu, shida ipo kwa aliyemuweka hapo had leo badala ya kumtimua
Sasa ni dhahiri Mwigulu anaelekea mwisho wake, hizi tozo zake anazotaka kuleta zitazua balaa kubwa, hivi hawa Google na wengine wakiamua kuiondoa Tanzania kwa sababu ya tozo zake za ajabu anadhani sisi tutaishije?
View attachment 1920140