Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,381
- 26,721
Hebu tulione hili wakuu, hawa jamaa kipande cha Mbezi kuanzia TangiBovu hadi Africana.
Wanapochoma mahindi huweka pia mashina yake, yaani ni kama wameyang’oa shambani na miti yake.
Kisha hufanya kama kivuli kwenye kilinge, hata kama sio kivuli japo mawili matatu kuashiria kuna mahindi mabichi.
Hii sijawahi kuiona sehemu nyingine yoyote, sijui kama ni ujivuni tu kama ilivyo kwa wakazi wa maeneo hayo, au kuna sababu kibiashara..?
Na kila siku utakuta majani yake mabichi kabisa [hayakauki], hebu mwenye kujua tafadhali atuambie, vinginevyo naona wanachafua barabara zetu tu.
Note:
Usiniulize kama mahindi yao hayahitaji ndimu wala chumvi au yale yale tu, muhimu usisahau kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka ndipo ufakamie mahindi yako.
View attachment 1406005View attachment 1406006
Wanapochoma mahindi huweka pia mashina yake, yaani ni kama wameyang’oa shambani na miti yake.
Kisha hufanya kama kivuli kwenye kilinge, hata kama sio kivuli japo mawili matatu kuashiria kuna mahindi mabichi.
Hii sijawahi kuiona sehemu nyingine yoyote, sijui kama ni ujivuni tu kama ilivyo kwa wakazi wa maeneo hayo, au kuna sababu kibiashara..?
Na kila siku utakuta majani yake mabichi kabisa [hayakauki], hebu mwenye kujua tafadhali atuambie, vinginevyo naona wanachafua barabara zetu tu.
Note:
Usiniulize kama mahindi yao hayahitaji ndimu wala chumvi au yale yale tu, muhimu usisahau kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka ndipo ufakamie mahindi yako.
View attachment 1406005View attachment 1406006