kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kuna kelele nyingi sana kuwa timu fulani ina wazee sana na hivyo wanaamini ingeweza kufanya vizuri zaidi iwapo wangekuwa vijana.
Sasa niwauluze,hawa wanaoshindwa kuwafunga hawa wazee,ni vijana aina gani hawa?Au ni vijana sio rizki?
Umeona wapi kijana anapigana na kikongwe halafu anadhibitiwa hadi roho inaanza kumtoka?
Sasa niwauluze,hawa wanaoshindwa kuwafunga hawa wazee,ni vijana aina gani hawa?Au ni vijana sio rizki?
Umeona wapi kijana anapigana na kikongwe halafu anadhibitiwa hadi roho inaanza kumtoka?