Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
- Thread starter
- #21
ahahaaa heri umesema jamaa mgumu kweli huyu
wewe naona leo umeamua kuniumia meno... Subiri nianue unga kwanza usinyeshewe then nakurudia.
ahahaaa heri umesema jamaa mgumu kweli huyu
Jamani mara hii mumeshanigeuza mbu? Mbu ndiyo wapo on question, sio mimi.
ahahaaa ujue mkuu we like u so very much tunataka tukuelewe so that we can have a nice friendship here kama hatukuelewi utatuona sio wazuri kwako na jf ni mahali petu pa kufurai na marafiki.si unajua au unataka tukuignore?jamani mara hii mumeshanigeuza mbu? Mbu ndiyo wapo on question, sio mimi.
Tatizo huwa anafikiria sana
Maswali ya why? How? What? kwake ni breakfast
Nahisi kama ana gari keshalifanyia mabadiliko
Linaenda kinyuma nyuma
Sababu anaona si lazima kila gari lende mbele
Angalia hata signature yake
It's full of ideologies, principles, theories, psychology, phenomenon, philosophy, experiment, human nature and son on.
Power of Mind cannot be the ultimate salvation for humanity, for all the faculties of mind are decidedly limitedLazima yule Rwaitama ni rafiki yako
yule anayekritisaiz kwenye TV
Huwa nahisi ni mtu wa mentality hiyo
Think critically, hata kijiko kinafikiriwa critical
Afu ukitaka picha iwe nzuri oa darasa la saba
Yaani ndani kunakuwa full burudani
Consg' Smiles ni moja wa member hapa JF wanaongoza kutoa LIKES' akiwemo na Zumbukuku, Maskin_Jeuri, Daudi Mchambuzi na wengine wengi....
Astaghafilullah, Kongosho! I need to see my lawyer.
Power of Mind cannot be the ultimate salvation for humanity, for all the faculties of mind are decidedly limited
ANAMAANISHA NINI HAPO KONGOSHO?
Haaa haaa haaa,Kid sis ambae ndo walau mstaarabu.... lol.... How are you? Missed you. Is life treating you well?
Inabidi atutafutie japo ufupisho wa hilo jina lake angalau,ahahaaa heri umesema jamaa mgumu kweli huyu
Consg' Smiles ni moja wa member hapa JF wanaongoza kutoa LIKES' akiwemo na Zumbukuku, Maskin_Jeuri, Daudi Mchambuzi na wengine wengi....
ahahaaaa mi nimezimia kabisa maana pumzi yote kwishneyinabidi atutafutie japo ufupisho wa hilo jina lake angalau,
nimejitahidi kutamka nimeishia kupaliwa lol!
Na kiinglishi chake ndio cha kijeruman sijui kile!
Lazima yule Rwaitama ni rafiki yako
yule anayekritisaiz kwenye TV
Huwa nahisi ni mtu wa mentality hiyo
Think critically, hata kijiko kinafikiriwa critical
Afu ukitaka picha iwe nzuri oa darasa la saba
Yaani ndani kunakuwa full burudani
Nasikia eti ana hold a PHD in critisizing, eti ni kweli?
loh kongosho???????????Ana PHD in primitive communalism mode of production plus chimpanzee multiply by ujima
Ana kisimu cha tochi ambacho alilazimishwa na chuo kukimiliki maana walichoka kuwa wanamtafuta manywali
aah saana...hili muhimu mnoo..hapo umekumbuka kumuhesabu na smile..!!? maana na yeye ame LIKE.. :lol:
Consigliere - Cantalasia.....sasa hapo langu na lako yana radha tofauti mdomoni kweli?Inabidi atutafutie japo ufupisho wa hilo jina lake angalau,
Nimejitahidi kutamka nimeishia kupaliwa lol!
Na kiinglishi chake ndio cha kijeruman sijui kile!