Ni kitu ambacho huwa najiuliza mm mwenzenu,hz kelele za Nape na Kinana kumtaka Rais awafukuze mawazi walioshindwa kazi je zitatimizwa na huyo baba riz?au wanatudanganya?nisaidien kwa hili wana JF.
Kwa ccm utasubiri sana, hawana ubavu wa kumfukuza mtu, kama tu kwa mfano amekiri uwaziri mkuu ni mzigo kwa maana nyngne umemshinda na atafurahi km atafukuzwa, lkn naamini naamini ataitumikia hyo nafasi kwa viwango hvyohvyo hafifu mpk 2015
Hivi unafukuza mawaziri ili iweje. Kama wewe kama Rais umekaa miaka minane ma matatizo ni yaleyale na umefanya mabadiliko mara mbili na matatizo ni yaleyale, hivi unatarajia wakibadilishwa mawaziri ndani ya mwaka huu mmoja uliobaki watafanya maajabu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.