pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 225
Ni kitu ambacho huwa najiuliza mm mwenzenu,hz kelele za Nape na Kinana kumtaka Rais awafukuze mawazi walioshindwa kazi je zitatimizwa na huyo baba riz?au wanatudanganya?nisaidien kwa hili wana JF.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us