Hivi hawa mawaziri waliotemwa kwa tuhuma za ufisadi watashitakiwa?

sodeely

Senior Member
Oct 3, 2011
187
117
Wana bodi.,
Napenda kuuliza pia nipate ufafanuzi juu ya hili..
Jana tumemsikia mkuu wa kaya akitangaza baraza lake la mawaziri, na huku wale waliohusika na ufisadi wakiachwa..
Swali langu, je, watashitakiwa? Kwa anaeelewa anifafanulie...
 
Back
Top Bottom