Wakuu, habarini za mchana,
Wakuu, hawa magamba wana nini na watu wa Moshi, eti wamefunga barabara tangu asubuhi, napia wana zunguka mitaani wakitangaza na kujisifu kua wana wapongeza watu wa Igunga. Wakuu mi naona kama wana tuchokoza watu wa Moshi, au wanataka kesho waanze kusema tume wapiga na kuwa vua nguo?
Ni vizuri wa navyofanya kuwa pongeza watu wa igunga nje ya Igunga? Natamani kusikia wanacho kisema kwenye kikao cha leo ambacho kimefanya mpaka manispaa wakatufungia barabara kwa ajili ya hawa magamba.
Wakuu, hawa magamba wana nini na watu wa Moshi, eti wamefunga barabara tangu asubuhi, napia wana zunguka mitaani wakitangaza na kujisifu kua wana wapongeza watu wa Igunga. Wakuu mi naona kama wana tuchokoza watu wa Moshi, au wanataka kesho waanze kusema tume wapiga na kuwa vua nguo?
Ni vizuri wa navyofanya kuwa pongeza watu wa igunga nje ya Igunga? Natamani kusikia wanacho kisema kwenye kikao cha leo ambacho kimefanya mpaka manispaa wakatufungia barabara kwa ajili ya hawa magamba.