sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Kumekuwa na wimbi la Vituo vingi sana vya Afya vinavomilikiwa na wa Asia kufungwa, Muda huu kituo kingine ni cha kigoma na Kimeshafungwa!,
Mi najiuliza Kweli mpaka Mtu anaanzisha kituo cha afya anaanza kuoa Huduma na sasa wanaanza ukaguzi ndo wanashtuka kwamba jamaa hana Leseni y atiba anayoitoa, huu ni uzembe au ni usingizi jamani??
Kama ni kuleta madhara si atakuwa ameshaleta madhara sana!
Mi najiuliza Kweli mpaka Mtu anaanzisha kituo cha afya anaanza kuoa Huduma na sasa wanaanza ukaguzi ndo wanashtuka kwamba jamaa hana Leseni y atiba anayoitoa, huu ni uzembe au ni usingizi jamani??
Kama ni kuleta madhara si atakuwa ameshaleta madhara sana!