harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,889
- 1,346
Serikali zote zimekua zikiongeza ushuru kwenye vitu viwili mara kwa mara. Bajeti zote utaziona zikiwa zimelenga vinywaji vyote kwa ujumla wake na sigara safari hii wameenda mbali zaidi kumkaba mfanyakazi wa uma na wamemuondolea hata ule msamaha mdogo wa kodi aliokua akiupata endapo ataagiza kitu kima usafiri .
Tukumbuke kwamba vitu hivi ni nadra sana kwa wafanyakazi mishahara yetu haitoshi hata mahitaji muhimu tu ya kawaida achiilia mbali hizo habari nyingine .
Mi naona serikali yetu haina jipya zaidi ya mambo yale yale ya waliopita na mbaya zaidi hawa
wanaharibu zaidi. Bajeti ambazo tunawekeza kwenye matumizi na wala si kwenye uwekezaji hizi hazitufai hata kidogo.
Tukumbuke kwamba vitu hivi ni nadra sana kwa wafanyakazi mishahara yetu haitoshi hata mahitaji muhimu tu ya kawaida achiilia mbali hizo habari nyingine .
Mi naona serikali yetu haina jipya zaidi ya mambo yale yale ya waliopita na mbaya zaidi hawa
wanaharibu zaidi. Bajeti ambazo tunawekeza kwenye matumizi na wala si kwenye uwekezaji hizi hazitufai hata kidogo.