jaridotcom2
Member
- Jul 26, 2012
- 62
- 11
Naomba kusaidiwa mm ni mwalimu (Diploma Holder) masomo ya Sayansi Geography anda Chemistry nimeomba kusoma Degree Education katika masomo hayo na niliomba mkopo pia lakini nasikia kunatetesi Eti sisi tulio in service hatupati mkopo je ni kweli au msaada kwa mwenye jibu..nashukuru Mungu niko Adimitted.