Ni mtu mzima na hiyo ni ndoa live bila chengaIna maana huyo Mtu mfupi ni mtu mzima .... mtoa mada acha masihara basii
Au wana shoot movie !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kama wamembemenda mshikajiView attachment 1048588View attachment 1048588View attachment 1048588View attachment 1048589View attachment 1048588View attachment 1048589Haka kajamaa kanaoa huyo mwana mama,najiuliza je ni kweli amekapenda kamshikaji au ni kujitoa kimasomaso a.k.a kutoa gundu? Maana huo mzigo naona kama ni over size
Hiyo nikutoa gungu2View attachment 1048588View attachment 1048588View attachment 1048588View attachment 1048589View attachment 1048588View attachment 1048589Haka kajamaa kanaoa huyo mwana mama,najiuliza je ni kweli amekapenda kamshikaji au ni kujitoa kimasomaso a.k.a kutoa gundu? Maana huo mzigo naona kama ni over size
Huyo dogo anamiaka 29 ,inasemekana ni muigizaji wa South Africa media nyingi zimereport ivyoJapo nahitaji kujua imetokea wapi hiyo kitu?
Hapana Shadeeya maua mengine huchanua kwenye mvua, mengine kwenye baridi mengine milimani mengine kwenye mboleaWanasemaga "Penzi ni kama Ua popote huchanua"
Hii ni movie mzee kama ni kwel bas ni Money power hapo!View attachment 1048588View attachment 1048589Haka kajamaa kanaoa huyo mwanamama.
Sasa najiuliza je, ni kweli amekapenda kamshikaji au ni kujitoa kimasomaso a.k.a kutoa gundu? Maana huo mzigo naona kama ni over size
Aah. Kumbe saizi yake kabisa ila tu ndio umbo lake ni dogo.Huyo dogo anamiaka 29 ,inasemekana ni muigizaji wa South Africa media nyingi zimereport ivyo
Alhamdulillah uzima upo, wahenga saa zingine wanazingua ujueKuumbe wahenga walidanganya eee? Mie Sijambo sijui wewe?