Hivi Hao Wanyonge na Masikini 2020 Wanaweza Kuipa Kura CCM Tena?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,214
Maana halisi ya CCM kumuita Magufuli "Rais wa wanyonge" ni kumpamba kuwa eti ni wa wafanyakazi, wakulima,wavuvi na wafugaji.
Mbunge Bwege amezungumza bungeni kuwa makundi hayo yote yameguswa na dhiki zilizoletwa na CCM hasa awamu hii ya tano na hawatatoa kura tena kwa malaghai jee hali iko hivyo kwa eneo lako means JF?
Huku kwetu makundi yote yameguswa mfano;
Wafanyakazi, hakuna increments toka 2015 ambayo iko kisheria wala nyongeza za mishahara wakati bei za mahitaji zinapanda.
Wakulima, hao ndio usiseme kabisa kwani mazao ya biashara kama Korosho, pamba, tumbaku nk serikali imeyaua kwa ubishi na ujinga.
Wavuvi, wamewekewa sheria za ajabu mpaka hiyo shughuli wanaiacha. Kuna nyavu zinaingizwa nchi na kulipiwa kodi lakini mvuvi akinunua avulie ndio inakula kwake na jela inaweza isimkose.
Wafanyabiashara, nao wameyumbishwa kufikia kuamua biashara kuzifunga na wale wenye mitaji mikubwa kuhamishia nje ya nchi.
Sasa kama maana JF na huko unako ishi mambo ni haya haya hizo kura za "wanyonge" watazipatia wapi?
Tegemeo la Wakurugenzi (returning officers) nalo mahakama imemwagia mchanga kitumbua hicho, CCM na Mzee baba wataponea wapi?
Ila ili mbuyu kuuangusha inapaswa kunoa mashoka vizuri
IMG-20190625-WA0074.jpeg
 
Wanyonge na maskini wakiwa wengi,kura za Ccm zinakuwa nyingi,jitihada zifanyike waongezeke
 
Maana halisi ya CCM kumuita Magufuli "Rais wa wanyonge" ni kumpamba kuwa eti ni wa wafanyakazi, wakulima,wavuvi na wafugaji.
Mbunge Bwege amezungumza bungeni kuwa makundi hayo yote yameguswa na dhiki zilizoletwa na CCM hasa awamu hii ya tano na hawatatoa kura tena kwa malaghai jee hali iko hivyo kwa eneo lako means JF?
Huku kwetu makundi yote yameguswa mfano;
Wafanyakazi, hakuna increments toka 2015 ambayo iko kisheria wala nyongeza za mishahara wakati bei za mahitaji zinapanda.
Wakulima, hao ndio usiseme kabisa kwani mazao ya biashara kama Korosho, pamba, tumbaku nk serikali imeyaua kwa ubishi na ujinga.
Wavuvi, wamewekewa sheria za ajabu mpaka hiyo shughuli wanaiacha. Kuna nyavu zinaingizwa nchi na kulipiwa kodi lakini mvuvi akinunua avulie ndio inakula kwake na jela inaweza isimkose.
Wafanyabiashara, nao wameyumbishwa kufikia kuamua biashara kuzifunga na wale wenye mitaji mikubwa kuhamishia nje ya nchi.
Sasa kama maana JF na huko unako ishi mambo ni haya haya hizo kura za "wanyonge" watazipatia wapi?
Tegemeo la Wakurugenzi (returning officers) nalo mahakama imemwagia mchanga kitumbua hicho, CCM na Mzee baba wataponea wapi?
Ila ili mbuyu kuuangusha inapaswa kunoa mashoka vizuri
View attachment 1138178

Kipindi hiki hawahitaji kura, bali watajitangaza wenyewe. Na yawezekana kabla ya uchaguzi kuna wapinzani wengi tu watawekwa vizuizini hadi uchaguzi upite au wanaweza fungwa hadi 2025 ndo watatolewa. Stay tuned.
 
Maana halisi ya CCM kumuita Magufuli "Rais wa wanyonge" ni kumpamba kuwa eti ni wa wafanyakazi, wakulima,wavuvi na wafugaji.
Mbunge Bwege amezungumza bungeni kuwa makundi hayo yote yameguswa na dhiki zilizoletwa na CCM hasa awamu hii ya tano na hawatatoa kura tena kwa malaghai jee hali iko hivyo kwa eneo lako means JF?
Huku kwetu makundi yote yameguswa mfano;
Wafanyakazi, hakuna increments toka 2015 ambayo iko kisheria wala nyongeza za mishahara wakati bei za mahitaji zinapanda.
Wakulima, hao ndio usiseme kabisa kwani mazao ya biashara kama Korosho, pamba, tumbaku nk serikali imeyaua kwa ubishi na ujinga.
Wavuvi, wamewekewa sheria za ajabu mpaka hiyo shughuli wanaiacha. Kuna nyavu zinaingizwa nchi na kulipiwa kodi lakini mvuvi akinunua avulie ndio inakula kwake na jela inaweza isimkose.
Wafanyabiashara, nao wameyumbishwa kufikia kuamua biashara kuzifunga na wale wenye mitaji mikubwa kuhamishia nje ya nchi.
Sasa kama maana JF na huko unako ishi mambo ni haya haya hizo kura za "wanyonge" watazipatia wapi?
Tegemeo la Wakurugenzi (returning officers) nalo mahakama imemwagia mchanga kitumbua hicho, CCM na Mzee baba wataponea wapi?
Ila ili mbuyu kuuangusha inapaswa kunoa mashoka vizuri
View attachment 1138178
Amini usiamini kura zitaingizwa kwenye masanduku na JWTZ pamoja PT watakuwa ni wasimamizi. Masanduku ya kura yatalazimishwa kuwa ni mabovu yabadilishwe kabla ya kuhesabiwa ili yawekwe yaliyojazwa mgombea wa chama twawala!! trust me!!
 
Maana halisi ya CCM kumuita Magufuli "Rais wa wanyonge" ni kumpamba kuwa eti ni wa wafanyakazi, wakulima,wavuvi na wafugaji.
Mbunge Bwege amezungumza bungeni kuwa makundi hayo yote yameguswa na dhiki zilizoletwa na CCM hasa awamu hii ya tano na hawatatoa kura tena kwa malaghai jee hali iko hivyo kwa eneo lako means JF?
Huku kwetu makundi yote yameguswa mfano;
Wafanyakazi, hakuna increments toka 2015 ambayo iko kisheria wala nyongeza za mishahara wakati bei za mahitaji zinapanda.
Wakulima, hao ndio usiseme kabisa kwani mazao ya biashara kama Korosho, pamba, tumbaku nk serikali imeyaua kwa ubishi na ujinga.
Wavuvi, wamewekewa sheria za ajabu mpaka hiyo shughuli wanaiacha. Kuna nyavu zinaingizwa nchi na kulipiwa kodi lakini mvuvi akinunua avulie ndio inakula kwake na jela inaweza isimkose.
Wafanyabiashara, nao wameyumbishwa kufikia kuamua biashara kuzifunga na wale wenye mitaji mikubwa kuhamishia nje ya nchi.
Sasa kama maana JF na huko unako ishi mambo ni haya haya hizo kura za "wanyonge" watazipatia wapi?
Tegemeo la Wakurugenzi (returning officers) nalo mahakama imemwagia mchanga kitumbua hicho, CCM na Mzee baba wataponea wapi?
Ila ili mbuyu kuuangusha inapaswa kunoa mashoka vizuri
View attachment 1138178
Wakiitwa hadharani wanyonge na masikini wanafurahi na kuvimba vichwa, akiwaita hivyo watampa.
 
Hahaha uhuru wa kuchagua haupo linapokuja swala la kutawala nchi hii. Hata msipopiga kura nchi nzima ccm otashinda kwa asilimia 95, maana watampa au kumgawia lipumba CUF, ADC, na Dovutwa asilimia chache ili kuhalalisha matokeo.
Watu waliisha ichoka ccm, lakini haijawahi kushindwa. Achaneni be kupiga kura mnapoteza muda.
 
Maana halisi ya CCM kumuita Magufuli "Rais wa wanyonge" ni kumpamba kuwa eti ni wa wafanyakazi, wakulima,wavuvi na wafugaji.
Mbunge Bwege amezungumza bungeni kuwa makundi hayo yote yameguswa na dhiki zilizoletwa na CCM hasa awamu hii ya tano na hawatatoa kura tena kwa malaghai jee hali iko hivyo kwa eneo lako means JF?
Huku kwetu makundi yote yameguswa mfano;
Wafanyakazi, hakuna increments toka 2015 ambayo iko kisheria wala nyongeza za mishahara wakati bei za mahitaji zinapanda.
Wakulima, hao ndio usiseme kabisa kwani mazao ya biashara kama Korosho, pamba, tumbaku nk serikali imeyaua kwa ubishi na ujinga.
Wavuvi, wamewekewa sheria za ajabu mpaka hiyo shughuli wanaiacha. Kuna nyavu zinaingizwa nchi na kulipiwa kodi lakini mvuvi akinunua avulie ndio inakula kwake na jela inaweza isimkose.
Wafanyabiashara, nao wameyumbishwa kufikia kuamua biashara kuzifunga na wale wenye mitaji mikubwa kuhamishia nje ya nchi.
Sasa kama maana JF na huko unako ishi mambo ni haya haya hizo kura za "wanyonge" watazipatia wapi?
Tegemeo la Wakurugenzi (returning officers) nalo mahakama imemwagia mchanga kitumbua hicho, CCM na Mzee baba wataponea wapi?
Ila ili mbuyu kuuangusha inapaswa kunoa mashoka vizuri
View attachment 1138178
Hawakuwapa kura 2015 in the first place, CCM waliiba kura na kuchakachua hesabu za kura. Bado tunakumbuka bao la mkono. Kitakachobadilika sasa ni kuwa ili CCM wafanikiwe bao la mkono tena, itabidi waibe kura nyingi sana maana box lao litapata kura halali chache zaidi kulinganisha na 2015.
 
Uchaguzi wa Tanzania umejaa mazingaombwe tu! Siji kupoteza muda wangu tena kupanga foleni eti kupiga kura huku mshindi akijulikana.
 
Polisi wapo tena na wengine bajeti imepitishwa juzi wataajiriwa hivi punde tena wengi wakutosha wataisaidia ccm kurudi tena madarakani
 
Back
Top Bottom