johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,711
- 141,574
Nauliza tu kwa sababu hapa Iringa ndio ngome kuu ya Chadema kwa sasa baada ya Mara na Mbeya kutetereka.
Nimepita baadhi ya maeneo hapa Unyaluni naona bendera za Chadema zinapepea nusu mlingoti.
Je, Hans amewahi kutumikia hapo Ufipa?
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Nimepita baadhi ya maeneo hapa Unyaluni naona bendera za Chadema zinapepea nusu mlingoti.
Je, Hans amewahi kutumikia hapo Ufipa?
Nawatakia Sabato yenye baraka!