Hivi Halima Mdee, Esta na wenzake walitarajia kuwa siku moja wanaweza kuwa wahanga na mamluki kutoka CHADEMA

Halima,Bulaya,Mbowe na Myika kwa ujumla wamepambana mpaka Covid-19 wameingia bungeni,na hawatotoka mpaka ligi iishe 2025.
 
Kuna mahali tunakosea sana hasa sisi wanaume na tumeonyesha udhaifu mkubwa sana.
Kinachoshangaza ni kwamba CHADEMA na wasiowanachadema wakati wote wa utawala wa awamu ya tano walituaminisha kwamba raisi alikuwa dikteta, kwamba watu walitekwa na kuteswa, kuwa walitishwa sana na kilikuwa kipindi kibaya mpaka Mbowe akasema never never again.
Ikiwa hali ilikuwa hivyo, hawaoni kwamba hawa wanawake walikuwa sehemu ya wahanga wa awamu hiyo? Je! Akina Halima hawakuipigania CHADEMA katika maisha yao? Je! Wanajua kilichowakuta kabla ya kukusanywa na kuapishwa? Wakati wanasema tutafute muafaka wa kitaifa baada ya awamu ya tano kwa nini jambo hilo lisiwe sehemu ya huo muafaka?
Kwa nini tuko bize kuwazomea wanawake ambao waliapishwa kwa haraka na wanaume waliokuwa tayari hata kuvunja katiba ili kutimiza malengo yao na huku wakimiliki bunduki zote za nchi? Munafikiri wanawake hao wangekuwa majasiri kiasi gani ikiwa wanaume mumefikia hatua ya kuwaogopa wanaume wenzenu hata kuikimbia nchi? Wanaume hata mlipoambiwa nendeni mukaandamane mlikaa majumbani kuogopa kifo, mnapata wapi ujasiri wa kuwazomea wanawake?
Kunatofauti gani na mwanaume anayemzomea binti yake aliyebakwa eti kwa sababu aliyembaka ni baunsa? Sijui kama naeleweka.
 
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Humujui Mbowe wewe, miliin 12 ni kitu gani kwake? Mutu amefungiwa account zake na kuhatibiwa biashara zake rakini hakumusujudia kayafa mwendazake Leo unaropoka ujinga
 
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Kwanini tuwasemee wakati haijatokea? Subiri siku ikitokea tutawajaji. Kwa sasa acha tuendelee na haio wasaliti Covid-19.
 
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Hapana hapo bado ujaelewa kwa nin wakina mbowe / chadema kukataa matokeo. Ni kwamba kulingana na mazinvra ya uchaguzi ilivyo endeshwa hata kama hao nguli wa upinzani wangeshinda bado wangekuwa na doubts kubwa , Na sabbu kubwa ni kwa nn wasindwe wakt siasa ni watu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom