Dah kama uli resit inabidi kuwe na mjadala kidogo hapo ila kwanza hongera, kuhusu zawadi lazima nijue kwanza ulikuwa unafanya masomo mangapi nakadhalika maana "Terms and condition apply"Me nilimaliza mwaka juzi,ila nilirisiti.
Majibu yamekuja nimefaulu kwa kiwango cha Dv 1 ya point 7,
Nipe changu kabisa Musimo Jr!
Form six wa siku hizi wengi ni under 18, labda wale ambao wanafanya kwa mara nyingine (Kama wewe)"Terms & condition apply?" kwani umeckia me Vodacom? Leta zawadi wewe@Musimo Jr
Halafu badili kauli yako,sisi sio watoto,
Form six watoto? Wewe angalia....!! Utaumia.
Ning'ong'e kimya kimya watu wasijue! Inauma to be a looser! Bt hakuna am nat a looser bwana.
Mi nimezungusha duara, njoo unifariji kabla sjajiuwaMie nimefanya vyema, naomba zawadi yangu.
wa kwanza huyo Musimo,twendelee kuhesabu....wtf.....!!!
kamaliza form six huyo,for shua.Mh watu wengine bhana kama unaona thread fulani haikufai si unaendelea na nyingine! Sio lazima uonyeshe uwepo wako kwa kufanya yaliyo ya hovyo