kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
Members poleni na mihangaiko.
Ndio tumetoka Kyela tunaitafuta Uyole. Njiani tulikuta kiwanda kizuri sana! Tukasimama kidogo. Tukaangalia-angalia ili kujua ni kiwamda cha nini, daa! hatukuona bango lolote.
Mara mlinzi akaja na kutuuliza shida yetu. Tukamweleza.
Jibu: "Ahaa hiki ni kiwanda cha kitu fulani"
Tukauliza: "Si mngeweka bango basi, ili tusiwasumbue kuuliza-uliza?"
"Aaa! sijui wenyewe. Ila viwanda vyao vyote huwa hawaweki"
Tukaondoka kimyakimya.
Ndio tumetoka Kyela tunaitafuta Uyole. Njiani tulikuta kiwanda kizuri sana! Tukasimama kidogo. Tukaangalia-angalia ili kujua ni kiwamda cha nini, daa! hatukuona bango lolote.
Mara mlinzi akaja na kutuuliza shida yetu. Tukamweleza.
Jibu: "Ahaa hiki ni kiwanda cha kitu fulani"
Tukauliza: "Si mngeweka bango basi, ili tusiwasumbue kuuliza-uliza?"
"Aaa! sijui wenyewe. Ila viwanda vyao vyote huwa hawaweki"
Tukaondoka kimyakimya.