Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Wakuu kuna hizi pikipiki ambazo zinapiga kelele kiasi kwamba kama mnaongea inawabidi msimame kama dk moja hivi. Mi binafsi zinanikera sana. Bahati mbaya sehemu ninayokaa ni karibu na barabara, hizi zimekuwa kero kubwa sana.
Wengine nao wana hutu tusport car, wanapiga nato kelele balaa.
Hivi hakuna sheria zinazouia hili suala?
Wengine nao wana hutu tusport car, wanapiga nato kelele balaa.
Hivi hakuna sheria zinazouia hili suala?