Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Kua mbunifu sio lazma ushush mzigo ndo uchote unaweza ukachota wakat mzigo bado una ning'inia haujafika chini.teh teh teh teh.Sio ubishoo ,shida ni mazngir yaliyop katk vyoo vya mahospital mkuu,, sio conducive kabsa kwa mtu kuchukua kinyes,,, ebu imagin umeingia choon zen unakuta mtu kashush mzigo halafu maji hakuna,,, na ww kwa sabb unajiskia vbay unashush wako pembn zen unachota kidg,, je hapo huon km ni kujitafutia infection zisizokua za lazma…?!!