Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
- Thread starter
- #101
Kwanini? ni basi tu hawataki kufikiri vemaHakuna njia nyingine...
Kwanini? ni basi tu hawataki kufikiri vemaHakuna njia nyingine...
Nakuunga mkono kwenye agenda ya pili mkuuMkuu: nchi zote zilizowahi kuwa na eastern ideology ndio zao hizo - NK, Russia, China, etc. tena hawa hufungulia mavifaru na makombora kuyaacha yazurure mitaani kwa wiki nzima kabla kiongozi mkuu muadhama hajahutubia taifa ajenda kuu ikiwa kuitukana US na western countries!
Ajenda ya pili ni kuwatisha wananchi wasilete fyoko fyoko ili watawaliwe vizuri bila kuhoji! Na sisi tunapita mule mule sema hatujawa na jeuri ya kutukana US na western bado japo 2015 - 2020 baadhi ya vitimbakwira walijaribu ila walionekana wehu tu wasio na vision au lolote la maana wakaishia kupuuzwa ndani na hata nje.
Wewe kama nani unanihoji hivyo?Hahahaha eti mara kibao? Said raia ambaye hata mafunzo ya jeshi hajapita, not even basic
Anyway unaweza kutaja idadi ya operesheni ulizoshoriki nao, mahali, idadi ya askari, logistics,transport modes, details of op, results, casualties. And with evidence pls
Mkuu naona huelewi serikali ni kitu gani na hakuna namna ya kukusaidia- wewe endelea kuwaona hao kama wajinga na kuwa mshauri wao- ila hiyo ndiyo maana ya serikaliKuna jambo huwa linanitatiza sana kwenye hizi sherehe za kiserikali, uhuru au muungano.
Yaani imekuwa ni kama formula kwamba uhuru lazima tuoneshe masilaha ya kivita na makomandoo wapite pale wakirukaruka.
Mi nahisi, kuna kitu hakipo sawa kuhusu hili suala. Yaani ni kwanini sherehe za uhuru wa taifa inapambwa na mambo ya kijeshi?
Mimi nahisi labda viongozi wetu wamekariri na tena wamepotea vibaya sana.
Ingekuwa sisi ni nchi kama North Korea, Iran, Russia, China ingekuwa ni sawa kuonesha silaha zetu za kivita kwa sababu hizi nchi hizi silaha wanazitengeneza, kwahiyo siku ya uhuru wanaitumia kuonesha technolojia zao.
Ila kwa nchi kama Tanzania, hatutengenezi silaha tunanunua nje. Kwa maana yake ni kwamba silaha ambazo tunazo na wenzetu wanazo.. Kwahiyo moja kwa moja sioni point ya kujigamba na haya masilaha ya kivita ambayo ni imported.
Ningetegemea kuona tunasherehekea hizi sherehe na kuzitumia kama namna ya kuitangaza Tanzania, yaani tuoneshe vitu ambavyo ni Made in Tanzania.
Mfano jana tumeona mavifaru lakini ukiamka leo asubuhi hakuna value yoyote ya hayo mavifaru kwa Watanzania.
Ila imagine kama tungetangaza technolojia ya kitanzania, leo ingekuwa ina add value kwa watu.
Unaamini hivyo- basi kama ni kweli muache mkeo kwa sababu ya hizo kucha , nywele za bandia na ngozi ya kujichubuaNonsense kuonyesha silaha usizotengeneza, zote umenunua na tozo zetu, tena kutoka mataifa ya kikoloni. Wanatuchora sana
Person of interestWewe kama nani unanihoji hivyo?
Kaa kwa kutuliaPerson of interest
Ww unajuaje kama sisi tulishaagiza na tunazo tayariMsilaha yote waliyoonyesha yanaharibiwa na kitu kidogo tu kiitwacho drones, ndiyo maana Kagame kaziagiza hizo kwa wingi na ndo zinampa ushindi Aby huko Ethiopia