Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,600
Kuna jambo huwa linanitatiza sana kwenye hizi sherehe za kiserikali, uhuru au muungano.
Yaani imekuwa ni kama formula kwamba uhuru lazima tuoneshe masilaha ya kivita na makomandoo wapite pale wakirukaruka.
Mi nahisi, kuna kitu hakipo sawa kuhusu hili suala. Yaani ni kwanini sherehe za uhuru wa taifa inapambwa na mambo ya kijeshi?
Mimi nahisi labda viongozi wetu wamekariri na tena wamepotea vibaya sana.
Ingekuwa sisi ni nchi kama North Korea, Iran, Russia, China ingekuwa ni sawa kuonesha silaha zetu za kivita kwa sababu hizi nchi hizi silaha wanazitengeneza, kwahiyo siku ya uhuru wanaitumia kuonesha technolojia zao.
Ila kwa nchi kama Tanzania, hatutengenezi silaha tunanunua nje. Kwa maana yake ni kwamba silaha ambazo tunazo na wenzetu wanazo.. Kwahiyo moja kwa moja sioni point ya kujigamba na haya masilaha ya kivita ambayo ni imported.
Ningetegemea kuona tunasherehekea hizi sherehe na kuzitumia kama namna ya kuitangaza Tanzania, yaani tuoneshe vitu ambavyo ni Made in Tanzania.
Mfano jana tumeona mavifaru lakini ukiamka leo asubuhi hakuna value yoyote ya hayo mavifaru kwa Watanzania.
Ila imagine kama tungetangaza technolojia ya kitanzania, leo ingekuwa ina add value kwa watu.
Yaani imekuwa ni kama formula kwamba uhuru lazima tuoneshe masilaha ya kivita na makomandoo wapite pale wakirukaruka.
Mi nahisi, kuna kitu hakipo sawa kuhusu hili suala. Yaani ni kwanini sherehe za uhuru wa taifa inapambwa na mambo ya kijeshi?
Mimi nahisi labda viongozi wetu wamekariri na tena wamepotea vibaya sana.
Ingekuwa sisi ni nchi kama North Korea, Iran, Russia, China ingekuwa ni sawa kuonesha silaha zetu za kivita kwa sababu hizi nchi hizi silaha wanazitengeneza, kwahiyo siku ya uhuru wanaitumia kuonesha technolojia zao.
Ila kwa nchi kama Tanzania, hatutengenezi silaha tunanunua nje. Kwa maana yake ni kwamba silaha ambazo tunazo na wenzetu wanazo.. Kwahiyo moja kwa moja sioni point ya kujigamba na haya masilaha ya kivita ambayo ni imported.
Ningetegemea kuona tunasherehekea hizi sherehe na kuzitumia kama namna ya kuitangaza Tanzania, yaani tuoneshe vitu ambavyo ni Made in Tanzania.
Mfano jana tumeona mavifaru lakini ukiamka leo asubuhi hakuna value yoyote ya hayo mavifaru kwa Watanzania.
Ila imagine kama tungetangaza technolojia ya kitanzania, leo ingekuwa ina add value kwa watu.