Nchi yenyewe haitambuliki kwa lolote la maana ..sasa hata huyo Superstaa unategemea atauzika vp????...vini ni kweli kuwa tanzania yetu hakuna msanii katika tasina yoyote ile aliyofika level ya usuperstar kwa maana ya kutambulika kimataifa
na kazi yake kujulikana kimataifa
ay na mrisho mpoto.
Nchi yenyewe haitambuliki kwa lolote la maana ..sasa hata huyo Superstaa unategemea atauzika vp????...
Hivi nini maana ya kuwa ''Super Star''?
Hivi kuonekana Channel O,Mtv Base au Trace ni kuwa Super star?
Kwa ufahamu wangu Super Star anaweza kuwa msanii wa muziki au hata mchezaji Mpira.
Na kuwa super star kuna level yake. Super star ni mtu mwenye mafanikio katika sanaa au mchezo wa aina fulani. Kwa mf. Drogba au Messi hao ni wachezaji nyota wa mpira wenye mafanikio karibu dunia yote. Juma Kaseja ni mchezaji nyota mwenye mafanikio Tz na Afrika Mashariki. Hata Ay ni msanii nyota mwenye mafanikio Tz na Afrika Mashariki na Jay-z ni msanii nyota mwenye mafanikio Marekani na Duniani.
Hivyo basi hapo utaona kila mtu anaweza kuwa Super star ila kwa level tofauti.
HAYO NI MAONI YANGU,KUTOKANA NA UELEWA WANGU.
Tusichanganye kuwa ''Celebrity'' na kuwa ''Star'' ni vitu viwili tofauti.
Celebrity ni mtu ambaye anapata attention ya vyombo vya habari. Mf. Mwanasiasa,msanii,n.k
Hivi nini maana ya kuwa ''Super Star''?
Hivi kuonekana Channel O,Mtv Base au Trace ni kuwa Super star?
Kwa ufahamu wangu Super Star anaweza kuwa msanii wa muziki au hata mchezaji Mpira.
Na kuwa super star kuna level yake. Super star ni mtu mwenye mafanikio katika sanaa au mchezo wa aina fulani. Kwa mf. Drogba au Messi hao ni wachezaji nyota wa mpira wenye mafanikio karibu dunia yote. Juma Kaseja ni mchezaji nyota mwenye mafanikio Tz na Afrika Mashariki. Hata Ay ni msanii nyota mwenye mafanikio Tz na Afrika Mashariki na Jay-z ni msanii nyota mwenye mafanikio Marekani na Duniani.
Hivyo basi hapo utaona kila mtu anaweza kuwa Super star ila kwa level tofauti.
HAYO NI MAONI YANGU,KUTOKANA NA UELEWA WANGU.
Tusichanganye kuwa ''Celebrity'' na kuwa ''Star'' ni vitu viwili tofauti.
Celebrity ni mtu ambaye anapata attention ya vyombo vya habari. Mf. Mwanasiasa,msanii,n.k
Nchi yenyewe haitambuliki kwa lolote la maana ..sasa hata huyo Superstaa unategemea atauzika vp????...
na ndo huwa najihuliza sana swali hilo je ulaya tunatambulika,na kama tunatambulika je kwa kiasi gani?Nadhani Lady Jay Dee kafika level hiyo... na ni yeye peke yake amekua star for more than ten years na bado akitoa anahit. anajulikana sana in east, central na southern africa, sijui kule ulaya vipi