Hivi haiwezekani Mabalozi wa nje kuwa wanadiaspora????

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello JF

Nilikua nauliza kama hizo nafasi za ubalozi haziwezi kwenda kwa wanadiaspora??

Moja mimi naona sincerely hakuna kazi wanayofanya mabalozi wetu zaidi ya kututatulia matatizo ya passports na migogoro midogo midogo...most times wako Free..sasa sio mbaya lakini tungepata better ways ya kuspendi kodi za watanzania ingekua vyema..

Serikali Ifanye kurecruit watu ambao pamoja na kusolve migogoro ya kidiplomasia na passports,,pia wangefanya mengine kama kuleta ujuzi na uwekezaji...kazi hizi zinamfaa mwana diaspora sababu wengi wamekulia Tanzania wanajua hussles za kila siku na pia wamekaa ulaya so wana understand wapi tuna Gap...

Najua labda itakua ngumu as karibu kila nchi ina mabalozi ila naomba tulifikirie mara mbili, mabalozi nchi zoooote tumewaweka kitu gani tangible kimeweza kufanywa na hao mabalozi mkakiona for years now???

Tafuta wataalam wanadiaspora waliosoma Teknolojia,Biashara na Kilimo uanze kuna fursa mkuu Magufuli...

Vipi hapooo?? Becky nimechemka?
 
Hello JF

Nilikua nauliza kama hizo nafasi za ubalozi haziwezi kwenda kwa wanadiaspora??

Moja mimi naona sincerely hakuna kazi wanayofanya mabalozi wetu zaidi ya kututatulia matatizo ya passports na migogoro midogo midogo...most times wako Free..sasa sio mbaya lakini tungepata better ways ya kuspendi kodi za watanzania ingekua vyema..

Serikali Ifanye kurecruit watu ambao pamoja na kusolve migogoro ya kidiplomasia na passports,,pia wangefanya mengine kama kuleta ujuzi na uwekezaji...kazi hizi zinamfaa mwana diaspora sababu wengi wamekulia Tanzania wanajua hussles za kila siku na pia wamekaa ulaya so wana understand wapi tuna Gap...

Najua labda itakua ngumu as karibu kila nchi ina mabalozi ila naomba tulifikirie mara mbili, mabalozi nchi zoooote tumewaweka kitu gani tangible kimeweza kufanywa na hao mabalozi mkakiona for years now???

Tafuta wataalam wanadiaspora waliosoma Teknolojia,Biashara na Kilimo uanze kuna fursa mkuu Magufuli...

Vipi hapooo?? Becky nimechemka?
Mtu akiambiwa awe Balozi maana yake kwanza anatakiwa awe na background ya kuwa mwanasiasa na mwenye uwezo wa kupanga maswala ya kukuza uchumi wa nchi. 1. Balozi zina vitengo vya wizara nyingi ambavyo kazi zake ni kuwakilisha serikali kupitia Wizara husika ila tatizo kuwalipa staff wengi kwenda huko ni ngumu kidogo maana nchi haina fedha hizo. 2. kazi nyingi za Balozi ndani ya Nchi flani ni kutoa taarifa au information kuhusu Uwekezaji ndani ya nchi ambapo lazima pawepo na mtaalamu wa secta hiyo ndani ya ubalozi ambaye anaweza akafafanua zaidi kwa undani kuhusu secta hiyo na matakwa yake mfano: Wanaotaka kufungua Branch ya Vyuo au Elimu ya msingi wanaweza wakakutana na mtaalam aliye bobea na wakamaliza kila kitu hapo; Secta ya Afya, anaye taka kufungua Hospitali na mengineyo yanayohusu Afya, Kilimo, Kiwanda...lazima awe ni mtu anayefaham mazingira ya kuwekeza katika secta hiyo.
Muwekezaji hatakiwi kuja nchini kwa hatua zote za kwanza kuanzia usajili mpaka documentation zingine lazima wamalizane huko ubalozini, hii hupunguza gharama za mwekezaji kuja kukaa kwa muda mrefu hotelini huku tanzania.

Wawakilishi wa secta hizo hawapo ubalozini, mgeni akija wanamuelekeza aje tu nchini atakuta melekezo na akikutana na urasimu au usumbufu anarudi.

Ma Diaspora kuwa mabalozi ni ngumu kidogo, moja Serikali haipo nao kwa muda na haiwezi kuwaamini, labda watumike kwenye vitengo vya ndani ya ubalozi maana ndio itakuwa rahisi lakini bado tu lazima waje nyumbani wapate taarifa kuhusu secta husika na maeneo ya uwekezaji, bado misimamo yao kuhusu siasa haieleweki kama unavyojua ccm inataka aliyepo kwenye chama wanamuona na wanajua utendaji kazi wake.
 
Back
Top Bottom