Huu utatu wa kisiasa kwanini unashindikana?
Yaani tuwe na Chama Cha Mapinduzi imara kabisa. Kisha tuna Upinzani imara kabisa na tukawa na Serikali makini kabisa isiyosubiri mashinikizo ya kisiasa kuendesha shughuli zake.
Hili haliwezekani kweli hadi tukeshe tukibomoana kila iitwapo leo?
Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka
Maendeleo hayana vyama!
Kufikia kiwango hicho cha maendeleo/ustaarabu siyo rahisi. Bado sana.